denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,937
nisaidie kitu hapo kwenye mawasiliano, ulikua team SIEMENS DOLE GUMBA au MOTOROLA KIPANDE CHA SABUNI a.k.a MSHINDI?
Aisee dunia inakimbia, leo watu wanapush na kuteleza juu ya vioo vya simu huku wakizifunga kwa kutumia mboni ya jicho. Ila pole sana.
Aisee dunia inakimbia, leo watu wanapush na kuteleza juu ya vioo vya simu huku wakizifunga kwa kutumia mboni ya jicho. Ila pole sana.