Nyaka-One
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 4,318
- 6,002
Kweli kabisa. Nakumbuka vizuri hii ajali ilitokea mwezi wa tisa mwaka huo 2011 ambapo inasemekana zaidi ya watu 1,500 walipoteza maisha. Hadi hii leo ajali za vyombo vya usafiri majini zilizotokana na vyombo hivyo kujaza abiria kupita uwezo wake hazijatupa somo la kutosha.Acha uongo spice islander ilizama 2011