Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,627
Wakuu,
Nilikuwa sijawahi kusafiri majini kwa kutumia meli ama boti.
Weekend nikasema ngoja nitoke Mwanza to Ukerewe (Nansio). Aisee hapana.
Chombo kilikuwa kinayumba yumba majini safari nzima , na kila nikitizama huko nje naona milima ya maji tu na mawimbi. Kuna mahala niicheck kila upande sikuona mji wala watu, ni maji tu tena mengi balaa.
Nilihofia sana aisee. Wakati nageuza jana nilisafiri roho juu mno. Kufika tu Mwanza nilipiga Serengeti Lite baridii kwanza ili kukata kiu.
Nini raha ya usafiri wa majini?
Aisee hapana.
Nitafia nchi kavu aisee. Maji hapana.
Nilikuwa sijawahi kusafiri majini kwa kutumia meli ama boti.
Weekend nikasema ngoja nitoke Mwanza to Ukerewe (Nansio). Aisee hapana.
Chombo kilikuwa kinayumba yumba majini safari nzima , na kila nikitizama huko nje naona milima ya maji tu na mawimbi. Kuna mahala niicheck kila upande sikuona mji wala watu, ni maji tu tena mengi balaa.
Nilihofia sana aisee. Wakati nageuza jana nilisafiri roho juu mno. Kufika tu Mwanza nilipiga Serengeti Lite baridii kwanza ili kukata kiu.
Nini raha ya usafiri wa majini?
Aisee hapana.
Nitafia nchi kavu aisee. Maji hapana.