Usafiri wa majini unahitaji roho ngumu

Usafiri wa majini unahitaji roho ngumu

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,627
Usafiri wa majini kwa kweli mm hunipakizi! Sijui meli sijui boti sijui ngalawa hapana mm!

Watu wanapenda kusafiri kwa meli eti wanaenjoy kabisa.Tena katikati ya bahari may be Dar to Zanzbar.

Bora ndege au basi aisee. Juu ya maji hapana.
 
Acha uoga!
Kabla daraja la Kigamboni halijakamilika, tulikuwa tunavuka na boti za mbao pale Kurasini kwenda upande wa Kigamboni.
Sasa siku hiyo kamtumbwi kakaharibika injini katikati ya bahari. Weeh, nilidata maana hata maboya hamna.
Pia kutoka Same kwenda Simanjiro kuna kuvuka mto Ruvu wenye mamba kwa kutumia mtumbwi wa kusukumwa na fimbo ndefu. Kama una roho nyepesi huvuki. Nilivukaga siku moja, sijarudi tena mpaka leo.
 
Back
Top Bottom