Sitarajii Kuoa Waziri kutoka Baraza la Mawaziri Mimi Deogratius N Kisandu.

Civilian Coin

JF-Expert Member
Dec 2, 2012
2,305
4,334
Watu wengi wamekuwa wakifikiria kuwa labda nitaoa Waziri mmoja kati ya Mawaziri wanawake. Na hii imekuwa ikizushwa kwa kuwa nimekuwa peke yangu kwa muda mrefu.

Kimsingi Mimi siwezi kuoa Waziri kwa kuwa na MTU kutoka Taifa LA Marekani ambaye Mungu ana mwandaa.

Najua hata mateso nayopata inahisiwa kuwa nyuma kuna mawaziri wa kike na katibu mmoja wa CCM wakiratibu ili nioe Waziri. Mapenzi haya lazimishwi.

Deogratius N Kisandu
Aksanteni.
 
Watu wengi wamekuwa wakifikiria kuwa labda nitaoa Waziri mmoja kati ya Mawaziri wanawake. Na hii imekuwa ikizushwa kwa kuwa nimekuwa peke yangu kwa muda mrefu.

Kimsingi Mimi siwezi kuoa Waziri kwa kuwa na MTU kutoka Taifa LA Marekani ambaye Mungu ana mwandaa.

Najua hata mateso nayopata inahisiwa kuwa nyuma kuna mawaziri wa kike na katibu mmoja wa CCM wakiratibu ili nioe Waziri. Mapenzi haya lazimishwi.

Deogratius N Kisandu
Aksanteni.
Yani mie hata sikuelewagi kabisaaa
 
Watu wengi wamekuwa wakifikiria kuwa labda nitaoa Waziri mmoja kati ya Mawaziri wanawake. Na hii imekuwa ikizushwa kwa kuwa nimekuwa peke yangu kwa muda mrefu.

Kimsingi Mimi siwezi kuoa Waziri kwa kuwa na MTU kutoka Taifa LA Marekani ambaye Mungu ana mwandaa.

Najua hata mateso nayopata inahisiwa kuwa nyuma kuna mawaziri wa kike na katibu mmoja wa CCM wakiratibu ili nioe Waziri. Mapenzi haya lazimishwi.

Deogratius N Kisandu
Aksanteni.
Hivi kuna Waziri ambaye ni single hadi mawazo kama haya yajakuingia kichwani na hata kama Wapo hivi kweli hawajavutwa sketi zao wakusubirie mnato kama wewe?
 
Watu wengi wamekuwa wakifikiria kuwa labda nitaoa Waziri mmoja kati ya Mawaziri wanawake. Na hii imekuwa ikizushwa kwa kuwa nimekuwa peke yangu kwa muda mrefu.

Kimsingi Mimi siwezi kuoa Waziri kwa kuwa na MTU kutoka Taifa LA Marekani ambaye Mungu ana mwandaa.

Najua hata mateso nayopata inahisiwa kuwa nyuma kuna mawaziri wa kike na katibu mmoja wa CCM wakiratibu ili nioe Waziri. Mapenzi haya lazimishwi.

Deogratius N Kisandu
Aksanteni.
TUPE cv yako mpaka uoe Waziri
 
Watu wengi wamekuwa wakifikiria kuwa labda nitaoa Waziri mmoja kati ya Mawaziri wanawake. Na hii imekuwa ikizushwa kwa kuwa nimekuwa peke yangu kwa muda mrefu.

Kimsingi Mimi siwezi kuoa Waziri kwa kuwa na MTU kutoka Taifa LA Marekani ambaye Mungu ana mwandaa.

Najua hata mateso nayopata inahisiwa kuwa nyuma kuna mawaziri wa kike na katibu mmoja wa CCM wakiratibu ili nioe Waziri. Mapenzi haya lazimishwi.

Deogratius N Kisandu
Aksanteni.
Huyu jamaa hana ndugu wa karibu ? Kwanini hawamuwahishi hospitali ya akili ?!
 
Watu wengi wamekuwa wakifikiria kuwa labda nitaoa Waziri mmoja kati ya Mawaziri wanawake. Na hii imekuwa ikizushwa kwa kuwa nimekuwa peke yangu kwa muda mrefu.

Kimsingi Mimi siwezi kuoa Waziri kwa kuwa na MTU kutoka Taifa LA Marekani ambaye Mungu ana mwandaa.

Najua hata mateso nayopata inahisiwa kuwa nyuma kuna mawaziri wa kike na katibu mmoja wa CCM wakiratibu ili nioe Waziri. Mapenzi haya lazimishwi.

Deogratius N Kisandu
Aksanteni.
Wakuuu na amini jukwaa hili lina wabobez wa taaluma ya afya hata ramli pia nawaomba msaidieni huyu kiumbe hata kwa ushauri tuu manake hayupo sawa ipo mushkeli pahala
 
Back
Top Bottom