ahahaaaaa jamani vitukojamani acheni kumlazimisha Deo Kisandu aoe waziri amesema yeye hataki kabisa hawa wadada mawaziri.
ahahaaaaI love ❤️ JF
KweliUna tatizo la Psychiatric mkuu, jaribu kumuona GP
Ni yeye na wenzake"Watu wengi wamekuwa wakifikiria kuwa labda nitaoa Waziri mmoja kati ya Mawaziri wanawake."
Hadi leo najaribu kujiuliza hao watu wengi ni kina nani?
Usinifananishe na huo Mtambo
Usinifananishe na huo Mtambo