amba.nkya
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 446
- 131
WanaJF, nimeamua kutoshiriki kupiga kura kwa chaguzi zijazo hata kama nitapoteza haki yangu ya msingi, unless otherwise, Katiba ya Uchaguzi ibadilishwe ikiwa ni pamoja na kuwepo kwa Tume huru ya Uchaguzi. Nimeamua hivyo kwa msingi kwamba ninapoteza muda na haki yangu ya kumchagua mgombea nimtakaye lakini NEC wanalazimisha kuwachagua wagombea wao (CCM):sad:.
Nawasilisha kwa majadiliano.
Nawasilisha kwa majadiliano.