Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,718
- 13,423
Teh teh tehe!!, nilisomaga vile vijitabu vya yule dada Irene anayeandikaga stori za ngono kwenye magazeti ya udaku, Mama yangu anakula nyama za watu, kingine kinaitwa nchi za wachawi, kuna stori kama hizo mkuu.Siku ukija Mwanza nitakukutanisha na mhusika na pia nitakuthibitishia kuwa hii sio story
Ukifika tu nitafute mkuu,usiwe mwoga lakini ...!!