Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,919
Kwa sasa ni muumini mzuri sana wa mashahidi wa Yehova,kwa nyakati hizo sijui alikuwa dini gani labda nimuulize!
Aiseee nitarudi kuisamalaizi hapa kuna pointi ya kuchukua
Huko unaweza kuiona treni ya umeme inapita ....!!
MUNGU anampenda jamaa.. na kujiamini pia kulichangia..!![/QUOTE
Naamini atakuwa ameshaokoka baada ya tukio hilo maana muujiza alotendewa si wakawaida
Safi tu habari ya wewHabari yako mkaka!
ila watu wa kanda ya ziwa wengi hawanaga dini
wameanza kuamini hv karibuni
Duh sengerema ni noma upande ule nakumbuka kuna kamji kanaitwa katunguru tuliwahi kwenda kwenye gurio kama unatokea kamanga ferry mwaka 1988 nikapata stori za wazinza na wakerewe jinsi walivyo ''Mafundi'' kwenye mambo ya giza.
Kanda ya ziwa ya wapi?
wasukuma na makabila mengine mf:mi wakwe zangu wapo ndg wasio na dini na nimekaa shy kuna jirani yetu mmoja alituambiga ye kwao wengi hawana dini mf:dini kaipata baada ya kuoa mkewe alikua RC ila na kuna mwl nae alikua hana dini kabisa wapo ambao hawana dini.