Sitamsahau huyu shemeji yangu

Sitamsahau huyu shemeji yangu

Natamani kuisoma ila Story Ndefu sana kama kungekuwa na uwezekano Nyambari Nyangwine Angei-summarize Nisome point tu nichukue Mafunzo
 
kuna mafala hawaamini visivyoonekana
 
Mjomba wangu alichaguliwa kufundisha sekondari huko sengerema,alimpa adhabu mwanafunzi,alivyolala usiku chumbani mwake aliamkia kando ya ziwa siku 3 mfululizo,aliacha kazi na sasa anafundisha private
 
Mjomba wangu alichaguliwa kufundisha sekondari huko sengerema,alimpa adhabu mwanafunzi,alivyolala usiku chumbani mwake aliamkia kando ya ziwa siku 3 mfululizo,aliacha kazi na sasa anafundisha private

Kudadadeki ....!!
 
Huyu jamaa amrnifurahisha sana yuko kama mimi, katita situation kama hiyo hutakiwi kuogopa tena, unaenda tu.
 
Nini kimekufanya udhani ni ya kutunga?

Jinsi hao wachawi walivyoshindwa kummaliza! maana alikuwa ndani ya uwezo wao!! Na hasa pale alivyoondoka usiku ndani ya nyumba yao. Kama stori inavyosema kuwa ni wachawi maarufu.
 
story ndefu mno. hayo mambo ya mama kupokelewa kwa bashasha ungeyadelete.... yameongeza urefu..
 
Hayo ni mambo ya wakuu wa giza, usipokuwa na neema ya Mungu lazima wakumalize...
 
HII KITU IPO REF.Dr.AYOUB RYOBA WAKIWA (MASKAUTI) WALIPOTEA KARIBU USIKU KUCHA WAKIITAFUTA NJIA YA KURUDI WASIIONE NA SEHEMU WALIYOKUWA WANAZUNGUKA NI ENEO HILI HILO NA WALIKUWA MASKAUTI WENGI.
MPAKA MMOJA WAO ALIPO TOA WAZO NA KUWAZINDUA KWAMBA KUPOTEA KULE SI KWA KAWAIDA..........
 
Mkuu hizo ni tungo za Shigongo au ni Irene Mwamfupe Ndauka katika Mama yangu anakula nyama za watu au simulizi za nchi ya wachawi?
 
Back
Top Bottom