asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Hii hatari kabisa....
Uhusiano wangu umevunjika kumbe ndivyo walivyo baba mkwe atasubiri saaaana
Mi nipo tu dada yangu ....!!
hiki sio kitabu mkuu, kingekua kitabu ningekisoma hadi mwisho....ukitaka kumficha mtanzania jambo..liweke kwenye kitabu... kastory kafupi mnashindwa kusoma hebu tujenge mazoea ya kujisomea na tuwahimize wtt wetu kujisomea vitabu
Una uwezo wa kuelewa sentesi za kawaida?
NImeshangaa hata mimi kisa kifupi kweli tena kimeandikwa kwa paragraph vizuri kabisa ila mtu anasema ndefu mi natumia simu hata huo urefu siouni yaani watanzani tu wavivu sana wa kupenda kusoma.ukitaka kumficha mtanzania jambo..liweke kwenye kitabu... kastory kafupi mnashindwa kusoma hebu tujenge mazoea ya kujisomea na tuwahimize wtt wetu kujisomea vitabu
usiogope Eiyer ilo ni ghorofa tuHiyo avatar mkuu mhhhh!!!!!!!!!
hiki sio kitabu mkuu, kingekua kitabu ningekisoma hadi mwisho....
hahahaha njoo PM utanifahamu zaid....hahah nlijua utajibu..ila me napenda kusoma machapisho mbalimbali..nataman nkufaham zaid