Mkuu hizo ni tungo za Shigongo au ni Irene Mwamfupe Ndauka katika Mama yangu anakula nyama za watu au simulizi za nchi ya wachawi?
Jinsi hao wachawi walivyoshindwa kummaliza! maana alikuwa ndani ya uwezo wao!! Na hasa pale alivyoondoka usiku ndani ya nyumba yao. Kama stori inavyosema kuwa ni wachawi maarufu.
Huko unaweza kuiona treni ya umeme inapita ....!!
Mhhhhh Nimeishi Sengerema Mwaka mzima sijawahi kuona chochote, Japo wakati nahamia Vitisho vilikuwa vingi sana, Nakumbuka kuna Mwanamke alinipigia simu siku moja baada ya kugundua mumewe ananifuatilia Aliniambia nakuahidi utarudi ulikotoka ukiwa Maiti! Daaah Lakini kuna Rafiki yangu na yeye alikuwa mgeni kikazi alikuwa anatokewa na Vitu vya ajabu sana kwenye nyumba alipokuwa anaishi! All in all Mungu ni Mwema mpaka naondoka nilikuwa salama.
na mwanaume mchawi je? Coz aliyeanza vituko ni yule babu yake shemejie aliyekuwa akiota mapembe na kupotea