stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,883
- 4,484
Hamna summary?
Mwenyewe nimeshindwa kusoma yote kwani ni kweli yamemkuta au soga tu?
Hamna summary?
Naona Kuna sehemu umetaja mwandoya mbona sehemu hiyo haina hayo mambo?sehemu kama hzo kua simple ishi km wenyeji walivyo utaenjoy ila ukijfanya babu kubwa iyakula kwako
mi nimeolewana mangosha pande za bariadi
hawaendagi kijijini kwao wanamuogopa bibi yao mchawi balaa anaogopwa hatari wanaishiaga mjini tu kwa wazazi wao
mwandoya hawafiki
Mwandoyasehemu kama hzo kua simple ishi km wenyeji walivyo utaenjoy ila ukijfanya babu kubwa iyakula kwako
mi nimeolewana mangosha pande za bariadi
hawaendagi kijijini kwao wanamuogopa bibi yao mchawi balaa anaogopwa hatari wanaishiaga mjini tu kwa wazazi wao
mwandoya hawafiki

Leo ni 2020, Raynaveronimefanya kanda ya ziwa maeneo ya,kutokea old shy kuelekea hadi panda kichiza,kuanzia kahama ,segese,kakola,ukerewe,geita,mwandoya,lamadi,dutu,bushtala,iselamagazi,maampaka nk
@Chokambovu, una hakika?Naona Kuna sehemu umetaja mwandoya mbona sehemu hiyo haina hayo mambo?
Ninao kwasababu ni mwenyeji wa hapo na ukoo wangu umeenea kuanzia kwenda kisesa, mwaukoli mpka kuvuka mto kwenda itilima
Na unapozungumzia sehemu hebu jaribu kuwa specific unapozungumzia mwandoya Kijiji na ama mwandoya Kama kataNinao kwasababu ni mwenyeji wa hapo na ukoo wangu umeenea kuanzia kwenda kisesa, mwaukoli mpka kuvuka mto kwenda itilima
@CHOKAMBOVUNinao kwasababu ni mwenyeji wa hapo na ukoo wangu umeenea kuanzia kwenda kisesa, mwaukoli mpka kuvuka mto kwenda itilima
Zahanati ya mwandoya, hufahamu ilipo?Na unapozungumzia sehemu hebu jaribu kuwa specific unapozungumzia mwandoya Kijiji na ama mwandoya Kama kata
Mimi hapo ni nyumbani nimesoma mwandoya shule ya msingi miaka 20+ iliyopita. Kwahiyo napafahamu vizuri