Kila mtu ana haki ya kusema kile alichonacho kichwani mwake ilimradi tu asivunje katiba so ni vijimambo tu
I agree with you ila the way ulivyoileta haijakaa kama tahadhari au taarifa au ulikuwa unatakaje
Utoaji wako wa mada ndio maana watu wamaiona kama haina maana kwa kuwa imekaa kiutani utani sio taarifa wala sio tahadhari