Sitaki tena wanawake kutoka Tanga.

Sitaki tena wanawake kutoka Tanga.

Hawa wanawake wa Tanga wanawapekelesha wazembe wazembe njoo upewe utaalam na uache kula chips.

Ukimpiga "Mama mkanye mwanao" hata huyo kungwi lazima akasimulie wenzake.

Uje Deep Sea upewe utaalamu wa kurudi nao Dar.
 
Kimwage hapa kisa hicho Madam nasi tufurahie maana miaka mingi imepita toka ujenzi wa hiyo barabara na mavi ya kale hayanuki huwezi kutekwa bana
Niliambiwa kuanzia waendesha greda, watia kamba, wamwaga vifusi, watitisha barabara mpaka vibarua wameloea sehemu moja inaitwa Kange a.k.a 'mji wa wajenzi'
Walinaswa na wadada wa Tanga....wakawakimbizia huko na kuacha familia zao huko walikotoka
 
wengi hapa watajifanya kukandia jamaa kukimbia lakini asilimia kubwa ni wadhaifu. ukitaka kuamini hili weka tangazo la dawa za nguvu za kiume uone wachangiaji wa kiume wanavyojaa inbox.
Vitu vingine ni starehe tu sio kukomoana, piga bao zako mbili kila mmoja anashika hamsini zake. Sio mambo ya kutoana jasho mpaka kwenye meno.
Hahaha viwili vya mkwezi af unasepa
 
Ila we boya utakuwa unatania...au unatupiga sound tu

Mimi nimetangaza tangu mwaka jana natamani kukutana na binti wa kitanga ili niamini kama yasemwayo yapo na sijabahatika....wewe umeenda tu na kupata mchuchu ghafla?
 
Ila we boya utakuwa unatania...au unatupiga sound tu

Mimi nimetangaza tangu mwaka jana natamani kukutana na binti wa kitanga ili niamini kama yasemwayo yapo na sijabahatika....wewe umeenda tu na kupata mchuchu ghafla?
Mie nipo kuondoa ngoma juani
 
Niliambiwa kuanzia waendesha greda, watia kamba, wamwaga vifusi, watitisha barabara mpaka vibarua wameloea sehemu moja inaitwa Kange a.k.a 'mji wa wajenzi'
Walinaswa na wadada wa Tanga....wakawakimbizia huko na kuacha familia zao huko walikotoka
Hahahaaa, hiyo itakua imeacha historia. Huko makwao bara walipotoka huingizwa jandoni na kufundwa lakini wakija Tanga na wakapata wanawake wa Kitanga hujikuta wanaingizwa darasani na kuanzishwa chekechea ya mahabat
 
Back
Top Bottom