Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,660
- 19,377
Nipo nyuma yako nakazia zaidiNakazia Dada.
Nipo nyuma yako nakazia zaidiNakazia Dada.
Usitoboe siri bana[emoji3][emoji3][emoji3]Kwa cheko hili...wewe utakuwa wa kwetu tu.
Hajaingia Tanga ndanindani.Hahahaaa. Lol.
Bora uwaambie Dada.
Hahahaa. Ndio ameshashindwa sasa Mkuu kabaki kusema hataki tena wanawake wa Tanga.Wenzie wameweza yeye ashindwe ?,ifike mahali wakati mwingine lazma uwe mkorofi
Bilashaka hukujutiaIla hata show ya wanaume wa TA nayo ya kibabe.
Nilionja ladha ya 'nyumbani'....mashallaaaah!!
Show zenu matata balaaa.unasemaaaa
Ahsante. Nimefurahi kukuona tena.Za kuadimika nzur tu just missing you, Nipo humu humu tu
Unaona ukarimu wa Kitanga huo, nitafanya hivo Madam nikifika Mombo, halafu nitapita pale Liverpool nikale mishkaki kwanzaUkifika Mombo sheli, mwambie Kwedikizu akufungashie matunda damu...oda imetoka kwa mndele mimi
Karibu bujumburaShow zenu matata balaaa.
Nilionjapo moja
Hiyo noma aiseeHajaingia Tanga ndanindani.
Ukiingia na mwanamke chumbani, nachota unyayo wako...nafunga fundo.
Walah nakwambia huoni mlango, paa wala kiti.
Waniona mie na kitanda tu.
Atakimbia aende wapi.
Hahahah....aisee
Unasingwa mpaka korodani zinakuwa nyekundu na kuvimba juu.Mwanaume anakua anasingwa(scrubbing), halafu huwekewa maji ya kuoga yaliyotiwa hiliki na mdalasini, wakati wa kuogeshwa gololi zinawekwa kwenye kisahani
Sasa kama umetoka zako bara huko utakumbuka sangapi kurudi kwenu!? Ndio maana kibao cha kwaheri kikatolewa
Elezea kwa ufupi..!Show zenu matata balaaa.
Nilionjapo moja
ha ha ha no coment asante kwa ushuhudaShow zenu matata balaaa.
Nilionjapo moja
Hahahahaaaaaa!!Hehehe kuna siku siku niliulizwa mbona umechukua pakt moja?
Kimwage hapa kisa hicho Madam nasi tufurahie maana miaka mingi imepita toka ujenzi wa hiyo barabara na mavi ya kale hayanuki huwezi kutekwa banaUnasingwa mpaka korodani zinakuwa nyekundu na kuvimba juu.
Nakumbuka kisa fulani wale waliotengeneza barabara ya Wami-Segera.
Nilicheka sana aisee
Haya kakaUsitoboe siri bana[emoji3][emoji3][emoji3]
Na sitakuja kujutia kabisaBilashaka hukujutia
Kabisa.Unaona ukarimu wa Kitanga huo, nitafanya hivo Madam nikifika Mombo, halafu nitapita pale Liverpool nikale mishkaki kwanza
Nitakuja trip moja.Karibu bujumbura