Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,841
- 37,579
Ila hata show ya wanaume wa TA nayo ya kibabe.Mamamae, dah! Asante Madam😀😀😀
Nilionja ladha ya 'nyumbani'....mashallaaaah!!
Ila hata show ya wanaume wa TA nayo ya kibabe.Mamamae, dah! Asante Madam😀😀😀
Za kuadimika nzur tu just missing you, Nipo humu humu tuNaye wa Tanga pia.
Mie Alhamdulillah uzima ninao. Za kuadimika mana huonekani au ndio umehamia Siasani? 😂😂😂 Teh
Huko aliona jau.Sawa nenda mikoa mingine
Hahahaaa. Karibu sana Tanga Sesten.Hapa nakwambia mzuka wa safari ya Tanga ushanipanda Hajar
Nianzie Muheza,Lusanga na Bonde,kwenye vijiji vya Dirima na Kidutani wakati huo nitakua nimeshapita Chanika na Kidereko kule Handeni
Nikifika Segera niende Korogwe na Mombo yake
Nifike Tanga mjini nione vitongoji vyake vyote hasa Makorora wanapodeka, kisha niondoke nielekee Zingibari na Mchapeni
Lakini raha yangu haswaa nitaipata Duga Maforoni, na Kidigo nifundishwe hadi nikijue 😛😛😛😉😉😉
Unajua kuongea kwa herufi kubwa aisee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Ila hata show ya wanaume wa TA nayo ya kibabe.
Nilionja ladha ya 'nyumbani'....mashallaaaah!!
Hahahaaa. Lol.Tumeisoma.
Sifa ya mwanaume ni kutomkimbia mwanamke.
Ndio maana sie twafunga fundo, mwanaume hauoni mlango zaidi ya kitanda tu
Ahahahah mkuu kuwazuia inahitaji experience ya kegel exercisePole mkuu
Siku nyingine kuwa makini, si kila wazungu wanapokuja wewe unawaruhusu tu
Kuwa mchumi braza kwenye kuruhusu wazungu
Tucheke Dada. Tucheke tu maana. 😂😂😂😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nikusaidie kucheka
Alililia wembe hatimayr kajikata mwenyewe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huko aliona jau.
Akasema aje kwetu...kakutana na watu na mood zao.
Akapiga ukunga
Ukifika Mombo sheli, mwambie Kwedikizu akufungashie matunda damu...oda imetoka kwa mndele mimiHapa nakwambia mzuka wa safari ya Tanga ushanipanda Hajar
Nianzie Muheza,Lusanga na Bonde,kwenye vijiji vya Dirima na Kidutani wakati huo nitakua nimeshapita Chanika na Kidereko kule Handeni
Nikifika Segera niende Korogwe na Mombo yake
Nifike Tanga mjini nione vitongoji vyake vyote hasa Makorora wanapodeka, kisha niondoke nielekee Zingibari na Mchapeni
Lakini raha yangu haswaa nitaipata Duga Maforoni, na Kidigo nifundishwe hadi nikijue 😛😛😛😉😉😉
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tucheke Dada. Tucheke tu maana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
unasemaaaaIla hata show ya wanaume wa TA nayo ya kibabe.
Nilionja ladha ya 'nyumbani'....mashallaaaah!!
Mwanaume anakua anasingwa(scrubbing), halafu huwekewa maji ya kuoga yaliyotiwa hiliki na mdalasini, wakati wa kuogeshwa gololi zinawekwa kwenye kisahaniNakumbuka kwa bibi kuna kisima cha maziwa.
Mkienda kutoa mahari, mwadumbukizwa mwaogeshwa wote na mkeo mtarajiwa ndani ya maji ya maziwa.
'Mwatakaswa'
Karibu Tanga...ule mapeasi na ngogwe
Kwa cheko hili...wewe utakuwa wa kwetu tu.Unajua kuongea kwa herufi kubwa aisee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Ss kama anajua huwa una un install ?Wewe wasema siwezi achwa sababu ya app ya jf mkuu na yy anajua kama mm mpenzi wa jf alikuwa hataki tu niwe member
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahahaaa. Karibu sana Tanga Sesten.
Ukifika kwa jinsi tulivyo wakarimu basi ukitoka hapo na weye ni mwalimu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakazia Dada.Nakumbuka kwa bibi kuna kisima cha maziwa.
Mkienda kutoa mahari, mwadumbukizwa mwaogeshwa wote na mkeo mtarajiwa ndani ya maji ya maziwa.
'Mwatakaswa'
Karibu Tanga...ule mapeasi na ngogwe
Ebu tufunge hii mada naona hatuelewani byee mm sio mkeo mkuu niache tuSs kama anajua huwa una un install ?
Usiache kuja kunipokea HajarHahahaaa. Karibu sana Tanga Sesten.
Ukifika kwa jinsi tulivyo wakarimu basi ukitoka hapo na weye ni mwalimu. 😂😂😂😂
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mwanaume anakua anasingwa(scrubbing), halafu huwekewa maji ya kuoga yaliyotiwa hiliki na mdalasini, wakati wa kuogeshwa gololi zinawekwa kwenye kisahani
Sasa kama umetoka zako bara huko utakumbuka sangapi kurudi kwenu!? Ndio maana kibao cha kwaheri kikatolewa