The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 557
Ina wezekana ni lile tatizo lake la kuzimia kwenye shughuli mbalimbali limefanya madaktari wake waone ni muhimu afanyiwe uchunguzi wa kichwa aka ubongo aka akili
Kama alienda kufanyiwa uchunguzi zaidi kwenye ubongo wake hilo sio tatizo, kakini kama alienda kuchekiwa akili nje ya nchi huo ni udhalilishaji wa taifale letu na watanzania wote kwa ujumla wao.
swala la akili si kuna hospitali iko Dodoma (Mirembe) kwani kuna haja ya kwenda nje ya nchi???