Akili ni kama software inayohifadhiwa katika ubongo (ambao ni kama hardware). Hii ni analogy yangu ya electronics na biology. Sasa nashindwa kuelewa walimpima akili au ubongo? Nasema hivyo kwa kuzingatia kwamba kujua ubovu wa software hakuhitaji kuipima, ila utaona tu performance yake inakuwa tofauti na ilivyotumwa (programmed). Hapo ndo unaamua kuifuta (format/remove) na kusanikisha (install) upya. hakukuwa na upimwaji wa akili, otherwuse mniambie muungwana alikuwa anafanya mambo tofauti na sera (programmed) ndo watu wakaamua kumpeleka apimwe. Mwenye akili zenye utata hawezi kujipeleka hospitali kupimwa.