Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,682
Mkuu na mimi nakubaliana na penddekezo lako sassa hivi tusitumie mabo ya dini tena kwani dini yenyewe hata hawaiheshimu sasa hivi inatakiwa tusitegemee imani kwani haijatusaidia na watu hawajali sasa hivi tuzame kwenye sayansi inabidi wapimwe akili na vipimo huwa havidanganyi