...sitaki kuuona uume na sitaki nionekane uke wangu!

...sitaki kuuona uume na sitaki nionekane uke wangu!

Kwi kwiii kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Malezi tunatofautiana.. Si kila mtu anaweza kujiachia utupu wake kwa mtu kirahisi namna hiyo. Shida yetu kizazi cha sasa tunawazia ngono sana na k ni kama kitu cha kawaida sana..
Mi kuna dada mmoja asili yake Kahama kanithibitishia kuwa alipata kumuacha dokta na foleni lake baada ya kuambiwa avue akaguliwe tatizo lake. Hata boyfriend wake wanakutana mara chache sana hawakai mkoa mmoja.
 
...haijalishi inasura gani ilimradi unapokea mzigo vizuri...by the way hivi kuna K yenye sura nzuri?...

Kwi kwiiiiiiii.. Huu uzi unanichekesha sana lol..

Nyingine nzur bana zimepaka carolight na misk!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
umesema amekamilika sekta zote, sasa hapo wewe naona ndio ujakamilika.. sometimes you have to pretend and not to be rude.
 
Kwani kinachomatter ni sura nzuri au utamu?

vyote vina matter wewe...papuchi ikiwa na muonekana mzuri kitu kinasimama at attention kwa muda mwingi...there is a direct corrilation btwin uzuri wa papuchi na muda ndude inakuwa imesimama wima lol. its human nature kupenda kuangalia something beautiiful bana
 
The way nilivyoisoma hii kitu tatizo naliona kwako zaidi......binti sioni kama ana tatizo sana,ni kwamba binti ni kweli kakupenda,lakini lazima ujue mkiwa faragha si lazima mzee ile kitu" imesane na mwensie"........wanawake wanapanda zaidi kuspend tym na wanaume wawapendao,especially those ones who are not boring.Hawako focused sana kwenye tendo la ndoa especially when just met.Anataka aji feel confortable with you first at least ajiridhishe kuwa amafanya chaguo bora.This needs tym.Hiyo gia ya kutopenda kuona dushelele na kuonwa papideh ni gia tu ya kukuondoa kwenye tyming dogo........grow up!

so kijana kwakuwa akili yako yote ilihamia kwenye kichwa cha dushelele badala ya ubongoni,you completely lost your game......simply you had no game.Kwahiyo njia kwako rahisi ikiwa ni kukimbilia Sanctuary yako Mwanza na kumpiga Ban............kwakweli ulichemsha.......you failed to close the deal after coming afar preparing for the big day!:confused2:

Ningekua karibu,I would have bitchslapped your face wussy boy!:target:

...ndugu yangu Laigwanan76,haya unayosema mengi ni mambo ambayo kama ukiwa kwenye eneo la tukio siraisi kutekelezeka...yanafaa kwenye kutengenezea move tu...
 
Pole, nahisi ulikuwa mwoga tu, wapo wanawake wenye aibu ya hivyo...

...ahsante mkuu...ni kweli niliingiwa nawonga,hii ni kutokana stori ambazo nimekuwa nikizisikia zinazohusu watu kuptwa na maswaibu mabaya kutoka na mahusiana yaliyoanzia kwenye hii mitandao ya kijamii...
 
Polepole ndio mwendo,mlihitaji muda zaidi wa kuwa pamoja na kufahamiana
 
Pole bwana!ila uko faster kufika tu unataka majambozi na denda unajisevia,kuwa makini bro!

...ahaaa ahaaa ahaaa,any way ahsante...ukichelewa chelewa unaweza kukuta mwana si wako,wajanja wamekuwa wengi sana siku hizi,wakati wewe unarembo vidume wanakuzunguka fasta wanagonga mzigo unabaki kuwa mshika pembe...
 
kuna movie moja ya marehemu the great ilikuwa imejaa hizo ''why'' aliigiza na vitoto viwili hivi
 
mwanzo wa story umesema kwao na mrembo ni songea na hapo singida yuko kikazi...lakini katikati ya story unasema jioni alikuaga na kwenda kwao kuweka mambo sawa ili aje mulale wote!!!!!...........aisee....
 
Mkuu Hongera zako! Next time usiwe na haraka kihivyoo! Kama kuku ashajaa kwenye kumi na nae manati ya nini? Ila hilo la kulana gizani hapana!

...hilo la kusubiri ata mimi nilikuwa sina tatizo nalo,mashaka nilianza kuyapata hapo kwenye giza...
 
Woga wako ndio umaskini wako inaonesha ilikuwa mapema so unge do gizani 2 hamnaga shida au tatizo lako nini?
 
Si ajabu, wala usiwe na shaka mkuu.
Ni habari ya kweli toka kwa ndugu yangu. Yeye na mkewe wa ndoa wana kawaida ya kujamiiana usiku tu bila kuwasha taa. Mchana kujamiiana ni marufuku, sababu kuu eti mke wake anaona aibu kuangaliwa K yake; tofauti kidogo na suala lako ni kwamba mkewe anaweza thubutu kuangalia dushelele la mme wake lakini siyo kuangaliwa the soft center yake! Ndoa yao ina muda wa miaka sita, na wana watoto wawili sasa!

...dah!...kumbe haya mambo yapo sana,mimi nilikuwa sijawai kuyasikia ndo maana nilimfikiria vibaya hayo dada...
 
mkuu,hiyo kitu ilikuwa sealed!,yani ilikuwa wewe ndo ukate utepe.si unaona alianza na cd ya 'kama kufanya tutafanya sana...'ulipong'ang'ania akakubadilishia cd....ushabutua!

...hilo nalo neno!...mkuu sasa nifanyeje ili nisawazishe hilo bao nililojifunga?...
 
Zuga line hiyo sema wewe ndo zako kuvizia wajane sasa we penda tu ipo siku utarisishwa na uchawi
 
Back
Top Bottom