Usiolewe kwa sababu yoyote kati ya hizo ulizoziweka hapo juu. Olewa kwa sababu umempata mtu ambaye mmependana naye yeye anapenda kuwa nawe kama mkewe na wewe unapenda kuwa naye kama mumeo.
Usiolewe kwa sababu yoyote kati ya hizo ulizoziweka hapo juu. Olewa kwa sababu umempata mtu ambaye mmependana naye yeye anapenda kuwa nawe kama mkewe na wewe unapenda kuwa naye kama mumeo.
m in love with you, and Im not in the business of denying myself the simple pleasure of saying true things. Im in love with you, and I know that love is just a shout into the void, and that oblivion is inevitable, and that were all doomed and that there will come a day when all our labor has been returned to dust, and I know the sun will swallow the only earth well ever have.....Nakupenda sana my msweet
mmmmh.........
Umebadilika Sana Siku Hizi,Nini Kilikukuta......miss strong said:Is all about time.....
Umebadilika Sana Siku Hizi,Nini Kilikukuta......
She is not fake ila ana msimamo wa kike
Awwwwwwww am so happy right now msweet♥♥♥♥ more than you do
Umekuwa Tofauti Na Ulivyokuwa #TeamMoneyMongers BackInTheDay2013 !miss strong said:Ha ha ha nimekuwaje???
Umekuwa Tofauti Na Ulivyokuwa #TeamMoneyMongers BackInTheDay2013 !
Wasalaam wana MMU,
Yaani weekend yangu ya leo imeharibika sana ...
Leo nimepata simu toka kwa mama zangu wadogo wakihitaji wedding dress ya mdogo wangu ambaye anataraijia kuolewa hivi karibuni niwatumie Tz ,baada ya maongezi mada ika badilika nikapachikwa swali WE NAWE UNAOLEWA LINI?
Maana wadogo zako wote wanaolewa we bado upo tu unafikiria nini haswaa?
Mwingine akadakia "Olewa basi uondoe japo mkosi",
kha! This is too much... Hivi jamani kuolewa ni kutoa mkosi???
Msimamo wangu:
1. Sitaki kuolewa kwa kuondoa mkosi
2.Sitaki kuolewa kwa sababu eti umri unaenda
3. Sitaki kuolewa eti wadogo zangu wote wanaolewa
4.Sitaki kuolewa kuwalingishia watu kwa na mimi nimeolewa
5.Sitaki kuolewa ili nivae shela au pete za ndoa kama fashion
( ndoa sio fashion)
6. Sitaki kuolewa eti umri unakwenda kwa hiyo yoyote atake kuja mbele yangu anioe tu kisa naingia 30 ....Nop
Ladies haya ni makosa makubwa sana ukiyaamua kwa kufuata maneno ya watu kisa hujaolewa....matokeo yake unaolewa mchana usiku unaachika ni kutojiamiani na maisha yako.
XoXo
Hehehe umecomment vizuri...nilipokuona tu nilitaraji kukutana na dongo LA haja kumbe walaa
What happen?
We nifungukie tu. Sijaelewa!