Sitaki kuolewa

Hiyo namba 2 ya umri unakwenda hata mi huwa naishangaa, kwani ukiolewa ndo umri unasimama mbona unakwenda vilevile.
 
Watu wanatumika kama vyombo vya hotelini kila mtu anakitumia hadi chombo chenyewe kinaanza kukataliwa na wateja afu kinalalamika kiwa hakitaki kuwa hotelini tena
 
amu Hongera.Welcome Back !
 
Last edited by a moderator:
hiv jana niliwuliwa?
nilijiwuwa?
waliniwuwa?
au dubwana gani lilinikuta?
tafazali mtu yeyote mwenye mapenzi mema anihelp!
cc lara1, amu Dinazarde Khantwe @ et al
puleeez dada mkubwa anahitaji drip moja tu ya glucose.
 
Last edited by a moderator:
olewa upate heshima uitwe mke wa fulani au mama fulani ...hata uwe na gorofa kumi kariakoo utaitwa yule mwanamke ...

Labda hilo swala la kuitwa mke wa fulani....ila mama fulani unaweza itwa bila hata ya kuwa na ndoa.....
 
hiv jana niliwuliwa?
nilijiwuwa?
waliniwuwa?
au dubwana gani lilinikuta?
tafazali mtu yeyote mwenye mapenzi mema anihelp!
cc lara1, amu Dinazarde Khantwe @ et al
puleeez dada mkubwa anahitaji drip moja tu ya glucose.

Eeeeer diripuuu ya umbeaaaa mayoweeee
 
Last edited by a moderator:
Kuitwa mama fulani au mke wa fulani inakuongezea nini? Bora kuwa na gorofa linaloniingizia pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…