Ndo maana nlisema hajapata wa kumuoa ana stress..wote wanapiga wanasepa..hata hyo serious relatnshp ile ya kuulizwa baby u slipin olrdy? Pengine hanaaa..ndo maana kutwaa anatunga story ajifariji...hheee eeehh ngoja nilale kanikera huyu hlf cjui nimekasirika nini kkiiirrruuuu
Nilikuwa nasoma tu mm,nilishindwa kuingilia sababu yalikuwa mambo yanayohusu jinsia ingine! amu afunguliwe haraka na hana hatia,alichofanya ni kukumbusha tu kuwa unasema bado hujaolewa wakati juzi umesema umeolewa na una watoto 2!
Yale yale ya huyu mwingine leo mwanamke kesho mwanamme
Duh kumbe kuna habari zimefutwa hapa eeeeh, jamani mwenye nazo azirudishe basi.
Kumbe ilikuwa hot sana hiyo jana
Ha ha humu ndani kwa drama ni balaa.
Mara ameolewa mara ana mchumba humu wamegombana mara ana watoto wawili mara anasoma indiq mara anauza nywele za maiti mara kansas aaaaa.
Ila nachoweza sema ni mijitu imeshakula mipilipili ya bure na mivitunguu maji huko asa inakuja humu kujikuna.
sio kidogo eti ni hekaheka.... mpaka Rapunzel kakimbia kwa jinsi alivonangwa hana hamu... na nahisi anajuuuuutaaaaaaaaaaaa kuwafahamu..
post za ugomvi zimefutwa utazitafuta hadi kesho kutwa huzioni.page by page huoni kitu.
anajuta kuwafaham kwani walikua wangapi???
Teh teh wanamnanga nini jamaniii??wakati mwenzetu hataki kuolewa!!au wivu.....lol
si anavodanganya watu humu ndani sasa wameamua kumvalia njuga..
Wasalaam wana MMU,
Yaani weekend yangu ya leo imeharibika sana ...
Leo nimepata simu toka kwa mama zangu wadogo wakihitaji wedding dress ya mdogo wangu ambaye anataraijia kuolewa hivi karibuni niwatumie Tz ,baada ya maongezi mada ika badilika nikapachikwa swali WE NAWE UNAOLEWA LINI?
Maana wadogo zako wote wanaolewa we bado upo tu unafikiria nini haswaa?
Mwingine akadakia "Olewa basi uondoe japo mkosi",
kha! This is too much... Hivi jamani kuolewa ni kutoa mkosi???
Msimamo wangu:
1. Sitaki kuolewa kwa kuondoa mkosi
2.Sitaki kuolewa kwa sababu eti umri unaenda
3. Sitaki kuolewa eti wadogo zangu wote wanaolewa
4.Sitaki kuolewa kuwalingishia watu kwa na mimi nimeolewa
5.Sitaki kuolewa ili nivae shela au pete za ndoa kama fashion
( ndoa sio fashion)
6. Sitaki kuolewa eti umri unakwenda kwa hiyo yoyote atake kuja mbele yangu anioe tu kisa naingia 30 ....Nop
Ladies haya ni makosa makubwa sana ukiyaamua kwa kufuata maneno ya watu kisa hujaolewa....matokeo yake unaolewa mchana usiku unaachika ni kutojiamiani na maisha yako.
XoXo
Teh teh nakujifanya na misimamo mingiii kumbe abechealolo!!!!!
Teh teh nakujifanya na misimamo mingiii kumbe abechealolo!!!!!
msimamo mzuri. Ndoa sio maigizo.
watu wanakusanua tu mbwembwe mwisho face book...!
Teh teh na wapambeee full kumpa kichwaaa teh teh