Sitaki kuolewa


Hahaaaa hii ndio jf.....
 

kweli je amu afunguliwe km ulikuwepo kwenye mind yangu mana binadamuana ukomo wa uvumilvu as a human being hata ningekua mim mtu kashanichokonoa sana ningerudishia nakuunga mkono 100%
 
Last edited by a moderator:

Kuna watu mna kumbukumbuu loo tete teh nilikua mbalii nimepitwaaaaa mie Husninyo mbayaaa weweee amu kafungiwaa loo we geniverus nipe umbea mieee
 
Last edited by a moderator:
Aliesema anataka kukuoa ni nani humu? Umeambiwa mume anapatikana humu!? Jf. Hapa u do me i do u!. Tunamalizana hapa hapo, wa kuoa anatafta mwenyewe mwanamke, ulishawahi kuona wapi mwanamke anatafta mume?!
 
sio kidogo eti ni hekaheka.... mpaka Rapunzel kakimbia kwa jinsi alivonangwa hana hamu... na nahisi anajuuuuutaaaaaaaaaaaa kuwafahamu..

Teh teh wanamnanga nini jamaniii??wakati mwenzetu hataki kuolewa!!au wivu.....lol
 
Good analysisi ya sababu za kutoolewa ila ungemalizia kwamba unaoolewa/utaolewa kwa sababu ya.... Ama kumpata mtu sahihi,ama kumalizana na starehe za ujana n.k
 

msimamo mzuri. Ndoa sio maigizo.
 
ila yule dada amu hana kosa jamank afu hata hakutaka ugomvi ghafla akatajwa kwa jina halisi mi hoi sikulala jana mpaka mtanange umeisha...

amu kaonewa kweli. mie ngoja nimsaidie kurest in ban!!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…