Sitaki kuendelea nae ila ananiganda

Sitaki kuendelea nae ila ananiganda

muda wote alizingua kaona kaharibu anajileta kwako iweje? shtuka mkuu ukute usingle mother unamnyemelea anaanza tafuta mahali salama..mpotezee kabsa mkuu labda na ww uwe ume umemkubali ivoivo.
 
Nilimpenda nikidhani yupo single coz muda wote hakuwa na mwanaume pale anapoishi,kumbe Jamaa anaishi mkoani huwa nakuja Mara chache
Mimba.... Mbona ulisema alikuambia ila ukaona ugegede tu
 
MKUU, USISHANGAE MTOTO AKIZALIWA ATAKUITA BABA.

HATA MIMI ILIWAH NITOKEA, HAKUNAMBIE KAMA ANA MIMBA, NIKAWA NAKULA MZGO, AKAWA ANANIPENDA KUPITA KIAS, MARA TUMBO LINATANUKA, ANANENEPA, NDYO AKANAMBIA ANA MIMBA YA MCHUMBA WAKE WA MKOA WA MBALI.

MIMI IKANBD NIENDELEE TU MANA ALINIGANDA.

NILICHOGUNDUA HZ MIMBA UKIWA NAZO KARIBU ZNAKUZOEA.

HALAFU MWANAMKE MWENYE MIMBA MTAMU SANA SJUI KWANINI.
 
Nilimpenda nikidhani yupo single coz muda wote hakuwa na mwanaume pale anapoishi,kumbe Jamaa anaishi mkoani huwa nakuja Mara chache
Alikwambia kabisa ana mimba ya mtu...ila ukamomalia tena kwa kujiita kidume...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom