Sitaki kuendelea nae ila ananiganda

Sitaki kuendelea nae ila ananiganda

BOMBAY

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2014
Posts
4,744
Reaction score
3,544
Habari wana bodi,

Kuna mdada nilitokea kumpenda, nikamface lakini akawa anasita kama vile kuna kitu. Kidume nikamkomalia akakubali, siku kadhaa badae nikaona kama haeleweki nikambana anambie kuna nini?

Akanambia anamimba ya Jamaa flani ambae ni boy wake kitambo lakini Jamaa kama hamjali japo alikubali kuhudumia.

Nikastuka but nikamshukuru kwa kunambia kweli then nikaanza kumpotezea, msichana akawa haishi kulalamika kwanini nampotezea mara hivi mara vile hatimae nikamla mzigo kama mara tatu.

Sasa nataka nipige chini lakini dogo ananiganda!Sasa najiuliza mimi na yeye tutakuwa pamoja hadi lini? Binafsi sitaki kuendelea nae.

Note: Jamaa anafanya kazi mkoani na anahudumia vizuri tu, mabinti mbona mnakuwa hivu? Tulieni na jamaa zenu mliokubali kuwazalia basi.
 
Kwa nini ulimtokea
Nilimpenda nikidhani yupo single coz muda wote hakuwa na mwanaume pale anapoishi,kumbe Jamaa anaishi mkoani huwa nakuja Mara chache
 
Mwanaume anayejielewa hawez kufanya vitu kama hvy

Unawezaje kula mzigo kwa mtu mjamzito na sio yako
Loh
M/Mungu anajua sana yaani angetupa mamlaka binaadam ya kuadhibiana nahc tungeheshimiana sana
 
Sasa hapo unamlaumu kwa lipi haswa!! Umeyavulia ndio uyaoge sasa.
 
Mwanaume anayejielewa hawez kufanya vitu kama hvy

Unawezaje kula mzigo kwa mtu mjamzito na sio yako
Loh
M/Mungu anajua sana yaani angetupa mamlaka binaadam ya kuadhibiana nahc tungeheshimiana sana
Kaniganda mkuu,wanawake wana mbinu sana,pia dogo mkali inahitaji moyo kumuacha bila kupiga
 
Tuanze na wewe... Kwa nini hata baada ya kuambiwa ana mimba ya mtu mwingine, ukaamua kupiga hivyo hivyo...

Ubaya umeuanza mweyewe...


Cc: mahondaw
Kweli mkuu lakini dogo mkali,half aliniganda sana mida ya night nikatereza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom