Sitaki dawa

Sitaki dawa

Nami pia natamani sana kumwelewa ndugu yangu Deception .... Natamani sana kuelewa anamaanisha nini between the lines
Uuh basi tumsubiri. BTW ulitaka kummention Deception au Ushimen?
 
Yani kama upo moyoni mwangu vile. "saikolojia" yangu imekufa kabisaaa. Kupima mbona napima tu hata sasa hivi. Kuna hii statement " Mungu ungeninyima scholarship, ukanipa afya yangu". Nishawahi ishuhudia statement kama hiyo kwa mtu wangu wa karibu sana. its a very sad long story, ila katika yote alimuomba Mungu amuachie tu afya yake, basi. Since that day HS niamke sijui nina majanga gani, ila nikiwa tu na afya, siumwi mmmh nasahau mengine yote kwa muda

I still pray ninachokiamini kuhusu story hii kiwe hivyo kweli. Otherwise as ulivyosema maisha lazima yaendelee whether + or -. As long as mtu huumwi kwamba umelazwa tu kitandani.....you just go out there and validate your dreams.
Lazima maisha yasonge, hakuna shortcut katika hili. Watu wakiamua kuwa wazi kuhusu status zao humu kama alivyofanya brother Mentor tutashangaa na kustaajabu.
 
take it easy Mentor Mungu mkuu anaweza mwamini yeye na kuwa mtu wa maombi, vilevile ishi maisha yampendezayo Mungu tubia dhambi yako naye atakusamehe na kuifanya dhambi iliyonyekundu kuwa kama theruji
mkiri kwa kinywa chako na mtegemee Mungu atakutokea katika hali hiyo.

njooni mumutie moyo na kumpa ushauri bestito mwenzenu mentor
cc: Mtambuzi @Passiona Lady Lady doctor sister mwallu KakaKiiza Asprin nawengine wote
 
Naendelea kuwaza kama alichoandika Mentor ni stori au ni scenario ya kweli kabisa..... Ohhhh So sad.
usiwaze bestito hayo ndo matokeo ameamua kutushirikisha mabestito wenzake ila cha msingi asikate tamaa
 
HUMBLE REQUEST: Sijaomba mnipe pole lakini jamani mbona tunatukanana? Why abuse me lakini?

Nisameheni kwa kukosea kushare my story but I wanted people to know. Its not fair kuja PM na kunitukana wakuu.
 
Hilo nalo neno, tukisema kila mtu afunguke mmh.
Mkuu....
Hili la Mentor tulichukulie kama funzo kwetu, na kwakua wengi humu tuna juana ingawa yaweza isiwe rasmi sana.....
Basi tusiruhusu kupata mpasuko wa moyo, za zaidi tumfariji mshkaji na kumpongeza kwa kitendo na ujasiri alio ufanya.
And.....
This is Big lesson to All jf members
Ushimen em nishirikishe ulichonielewa please
 
Jaman mimi nazidi kuumia.... naumia sana jamani
Mentor njoo uonekane humu mara moja tu walau nikuulize kitu kimoja...
Nina hali mbaya

Umeshawahi kushiriki naye nini!?

Mbona unaumia sana, that is how HIV inapatikana mkuu, na kuna wanaopata kwa njia za kusikitisha zaid ya hii km vile kubakwa, kuongezewa damu nk. Ni vile tu others hawajapata platform to tell their stories.

Move na maisha
 
HUMBLE REQUEST: Sijaomba mnipe pole lakini jamani mbona tunatukanana? Why abuse me lakini?

Nisameheni kwa kukosea kushare my story but I wanted people to know. Its not fair kuja PM na kunitukana wakuu.
Hili andiko lako limenindosha chozi aiseeee....
Na hapa ndipo najifunza kwamba ubinadam ni mgumu sana kwa binadam....
Ama kwa hakika nimetamani hata huu uzi ufutwe kwasababu watu tunakosa utu. Ikiwa umeamua mwenyewe tena kwa utashi wako pasipo kulazimishwa na mtu yeyote kuja kutusimulia yalio kusibu ili nasi kama wadau/marafiki/kaka/dada tujifunze kupitia wewe.
Cha ajabu watu huleta ujuaji na kutonesha kidonda chako ukingali bado mwenye jeraha bichi kabisa.
Najaribu kuvaa kiatu chako aiseeee hadi naogopa
 
HUMBLE REQUEST: Sijaomba mnipe pole lakini jamani mbona tunatukanana? Why abuse me lakini?

Nisameheni kwa kukosea kushare my story but I wanted people to know. Its not fair kuja PM na kunitukana wakuu.

Though uko kwenye kipindi kigumu jipe nguvu ya kuwapuuzia, na si watu wote wanapenda na wamefurahia ukweli wako. Wanaokutukana na kuku abuse hawajafanya sawa, waweza wablock ili usione msg zao tena au ukawaignore.

Na upate faraja ya moyo hata furaha yako irejee tena.

Pamoja na yote niruhusu niwe naendelea kukutania tuu, la ukikataa hakuna mbaya.

Nacho cha Ruwa.

Kasie.
 
Back
Top Bottom