Sitaki dawa

Sitaki dawa

Ishu ni kwamba ulishasema uliwahi angalia movie Cameo sinama... yani ishu za drive inn walotokea usweke wanaohisi ilikuwa enzi za ukoloni. Kuna watu ukiwaambia pale ubalozi wa usa baby... kulikuwa na uwanja wa basketball wanahisi ilikuwa enzi ya Nyerere...

Zile timu pendwa kama Pazi wanahisi zilikuwa za kikoloni.... basi tu hamna jinsi...

Kwa mtaji huo basi, hata nikija siku moja kuanzisha mada kuwa niliwahi kum-date mama wa flani humu na akaniambukiza kisonono, wataamini tu😀😀.
 
Kabla ya kukujibu swali lako,ulitakiwa pia kujiuliza kwanini pia kuna watoto wanazaliwa HIV- wakati mama zao wamepimwa HIV+ na hawatumii ARVs?Au hujui kama kuna watoto wengi sana wa namna hii huzaliwa kila siku?

Kasumba au imani hii mliyonayo inawafanya mjiulize yale maswali mnayopenda kujiuliza tu,ila maswali yale yenye mikanganyiko ambayo iko wazi kabisa hamuwezi kuyaona kwa kuwa yako nje ya imani yenu.Akili za watu wengi ni kama zimewekewa frame/wigo wa kufikiri,haziwezi kufikiri zaidi ya kile walichokisikia kutoka kwenye vyombo vya habari kuhusu suala hili.Mtu ambaye akili yake imewekewa frame/wigo hawezi kujikwamua mwenyewe kutoka kwenye hali hiyo kwa kuwa hajijui,inatakiwa mtu mwingine kutoka nje aje amkwamue,mimi hukwamua watu wengi sana waliolemaa katika suala hili ovu,la uongo na la kikatili kabisa la HIV/AIDS.

Pia je,unajua kama kuna watoto wanapimwa HIV+ wakati mama na baba zao ni HIV-,he he heee,inawezekana hili hulijui kwa kuwa hukuwahi kufuatilia.Jambo kama hili linapotokea madaktari huwa wanasema inawezekana mtoto kanyonya maziwa ya mama mwingine aliyeathirika na takataka za majibu kama hayo,he he heee,huwa madaktari hawakosi jibu kwenye kila swali linalohusu HIV/AIDS,hata kama wanajua wanajibu pumba.Sasa je,unajua sababu halisi inayosababisha hilo kutokea?Usiniambie mtoto wa miezi 4 anaweza kufanya ngono.

Sasa kama hujui jibu la swali nililokuuliza,wewe niambie halafu mimi nitakujibu maswali yote mawili,yaani lile ulilouliza wewe na hili nililokuuliza mimi kwa pamoja.
Sielewi kitu jamani sasa hiki kinachoua watu ni nini hasa? Nimesha changanyikiwa hawa watoto wote wanaozaliwa +ve na kinga zinashuka shida nini tuelimishe basi
 
Ngoja niulize kishabiki bila kumbeba komredi Nyani Ngabu. Ujana huishia umri gani?

Kama itawezekana na hautàjali kwa upeo wako naomba age limits za.... utoto, ujana, uzee, ukongwe.
Mkuu naona umechkulia post yangu very serious...btw hata mimi sio babu...wayne rooney siku hizi tunamuita babu ila ana 30 au 31 tu....
 
Unaona sasa ulivyo sucker? Uliwahi kuniona huko kwenye food evenings au unaamini hook, line, and sinker kila niandikacho humu?

Hunijui sikujui, huo uhakika wa mimi kuhudhuria food evenings unautoa wapi wewe? Teh teh teh we jamaa bana...



Age gani unayozungumzia? We ndo mama yangu kwani?

Kwanza, hivi unanijua wewe au huwa unanisoma tu humu?
ha ha ha huwa napenda sana unavyokuwa sensitive watu waki guess umri wako....ndio maana wengi wanapenda kukuzingua.....haya bana wewe kijana tu hio 60 wanakusingizia.....
 
ha ha ha huwa napenda sana unavyokuwa sensitive watu waki guess umri wako....ndio maana wengi wanapenda kukuzingua.....haya bana wewe kijana tu hio 60 wanakusingizia.....

Umeumbuka...na umeishiwa la kusema.

Hunijui sikujui.

Kama unanijua taja hapa jina langu na uweke uthibitisho.
 
Umeumbuka...na umeishiwa la kusema.

Hunijui sikujui.

Kama unanijua taja hapa jina langu na uweke uthibitisho.
Kwani kuna sehemu nimesema nakujua? Stori zako humu ndio zinafanya watu wa guess vitu. Kama ambavyo kila siku unapost vibendera vya USA huku ukiimba USA baby watu wanajua uko USA na hawajawahi kukuona au labda kufika huko USA. BTW why are u so sensitive watu wakiguess umri wako? nini cha ajabu? suppose ur not 60 and i say you are 60 unapungukiwa nini?
 
Kwani kuna sehemu nimesema nakujua? Stori zako humu ndio zinafanya watu wa guess vitu. Kama ambavyo kila siku unapost vibendera vya USA huku ukiimba USA baby watu wanajua uko USA na hawajawahi kukuona au labda kufika huko USA. BTW why are u so sensitive watu wakiguess umri wako? nini cha ajabu? suppose ur not 60 and i say you are 60 unapungukiwa nini?

Let me school you.

I don't have a problem with conjecture. Not one bit.

What I do have a problem with are declarative statements.

Do you know what that is? I doubt you do and I'll help you.

Declarative statements are statements that state facts.

Do you know what facts are?

Wewe umesema mimi ni age mate wako....tumejuana wapi hadi useme hivyo wewe?

Au hujasema mimi ni age mate wako?
 
1467131449280.jpg
 
Jamaa anadai mi ni age mate wake...wakati hata simjui naye hanijui.

Teh teh teh....watu bana.

Mtu unaweza ukatunga tu mambo humu na ukawazoa wengi sana aisee.

Sasa hapa itabidi ni enlist msaada wa mzee Mtambuzi na sister waje kukata mzizi wa fitna...
Hapa ngoja nitume na picha kabisa......teh teh
 
Let me school you.

I don't have a problem with conjecture. Not one bit.

What I do have a problem with are declarative statements.

Do you know what that is? I doubt you do and I'll help you.

Declarative statements are statements that state facts.

Do you know what facts are?

Wewe umesema mimi ni age mate wako....tumejuana wapi hadi useme hivyo wewe?

Au hujasema mimi ni age mate wako?
Ubaya wangu huwa sijui kuongea sana. Tuishie hapo sitaki kwenda njia unayoenda.
 
Ubaya wangu huwa sijui kuongea sana. Tuishie hapo sitaki kwenda njia unayoenda.

Good.

Hunijui, sikujui. Mambo ya mimi ni age mate wako umeyatoa wapi?

Safari ijayo jifunze na kutokuongea usiyoyajua pia.

Just word to the wise!
 
Good.

Hunijui, sikujui. Mambo ya mimi ni age mate wako umeyatoa wapi?

Safari ijayo jifunze na kutokuongea usiyoyajua pia.

Just word to the wise!
Sitaki kwenda njia unayolazimisha niende.
 
Back
Top Bottom