Sitaisahau siku ya interview

Sitaisahau siku ya interview

Hii ni story ya kutunga kwa fact moja tu kuna sehemu umesema miaka 24 yaani piga mahesabu mtu aliyemaliza chuo na akasota mtaani miaka minne inakuwaje awe na miaka 24

Sent using Jamii Forums mobile app


Mkuu hiyo si sababu ya kufanya stori hii iwe ya kutunga. Nimesema miaka 24 kipindi kile nikiwa naingia hotelini kuonana na Jemmy.
 
Back
Top Bottom