Nimejifunza kitu hapa,kwamba ni vyema
kutumia vizuri bum,badala ya kuwekeza
kwenye umarioo,kumbe kuna maisha
baada ya chuo,Hayo mengine ya Jemmy
nakuachia ila nimepata fundisho.
Usikae kwa bibi nyau mwana, kwa shigongo kuna hela zako nyingi tu zinakusubiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko juu kwa usimuliaji unaovutia hebu jikite kwa shigongo kijana utavuta mkwanja fast, hongera
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka umecheka badala yangu pia....Whozuu,.hahahahaa mumu mecheka jomoniiikweli ww blaki sneki...
Haswaaa...za weekend Chief!?Bila shaka umecheka badala yangu pia....
Salama salimini, bila shaka na wewe pia kama mimi
maishaa baada ya chuo nikitu kingine japoo mwishoni umeingiza madesa mengine Ila Hapo
mwanzo kina mafundisho makubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisaaa,bukheri wa afya njema na hii hali ya hewa leo basi amani inazidi kutawalaSalama salimini, bila shaka na wewe pia kama mimi
Hii hali sio poa kabisa maana ofisi ya mkemia mkuu inapata tabu sana...Kabisaaa,bukheri wa afya njema na hii hali ya hewa leo basi amani inazidi kutawala
Sent using Jamii Forums mobile app