Sitaisahau siku ya interview

Sitaisahau siku ya interview

Nimejikuta nacheka ila angalau intaavuuu ilikukutanishaaa na toto ndugu wa toniiii jaaaaa


Hahaaaaa!!!! Mkuu mimi na Tony Jaaa ni Mashemeji kabisa. Inabidi nikaombe kazi ya uigizaji huko thailand
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Hahaaaaa!!!! Mkuu mimi na Tony Jaaa ni Mashemeji kabisa. Inabidi nikaombe kazi ya uigizaji huko thailand
Ebhanaaaaah kwa hiyo shooo nzima na kunena kwa lugha hakuna cha maana mlichokiachaa ??

Au wewe ndo tulipishana ubaloziii wa trump unataka kwenda kumsalimia shemeji yako make huko sio wako tena
 
Back
Top Bottom