Sitaisahau siku ya interview

Sitaisahau siku ya interview

Haijalishi umeitunga story au ilikutokea kweli ila nakushukuru nimejifunza vitu vingi ambavyo mpaka sasa nakutana navyo kama changamoto zinazonikabiri. Thank j.j


Ni kweli Mkuu, Ukipata nafasi sharti uitumie
 
Joka jeusi my brother for sure una kipaji umekificha ndani kwa bibi nyau siku ukiweza kukitambua hizo interview hutazishobokea tena upo vizuri kwenye utungaji wewe kiumbe kuanzia Leo acha kulala endeleza kipaji chako

Sent using Jamii Forums mobile app


Ahsante sana Mkuu, unajua maisha yakikuchanganya unapoteza chaneli
 
Back
Top Bottom