Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,336
- 10,895
- Thread starter
- #121
Ebhanaaaaah kwa hiyo shooo nzima na kunena kwa lugha hakuna cha maana mlichokiachaa ??
Au wewe ndo tulipishana ubaloziii wa trump unataka kwenda kumsalimia shemeji yako make huko sio wako tena
Mkuu usinikatishe tamaa, ipo siku yangu tuu. Hatimaye nifanikiwe.

nilikuwa napenda kujidai mitaa ya beach blue Monday,raha leo kila weekend au peace beach hotel zamani oceanic...home palikuwa mtanda pa kishua enzi hizo njia ya cheleweni kama unakwenda kwa mama salama Kikwete...