Sista duu nao wanakulaga mahindi ya kuchoma

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
DSCF8004.JPG
DSCF8002.JPG
 
Hahahahahah lol!....Kwani masista do nao si binadamu hahahahahahah lol! Aisee umenikumbusha kitu ambacho kimenifanya nicheke sana lol!

 
Last edited by a moderator:
Umenikumbusha last month nilikua ktkt kijiji flani kilichokumbwa na baa la njaa , sasa jioni nilivyokua narudi stand kupanda bus nikamendewa na wezi wawili walionikaba na kunipora muhindi wa kuchoma nilokua na kula na kukimbia nao mithili ya wezi waliopora simu ya mkononi.
Njaa haina choice.
 
Creativity ya huyo mchoma mahindi ni kiboko.....kaweka na mimea ku-verify freshness ya products zake...


yeah - huyu mchoma mahindi yupo - Barabara ya "old bagamoyo" karibu na nyumbani kwa former chief-spy! Huyu sista-du nitamstiri kwa leo!
 
vigezo vya kumwita sista du ni nini? mavazi, mwonekano, au? huyo si wa kawaida tu mkuu..choka inawezekana home hakuna menu!!
 
.......Asikwambie mtu vitu kama hivi vya barabarabi ni vitamu sana, hapo hakuna cha usta du wala braza men.
 
anataka kumkomesha mtu anayemtaka tigo....akila mahindi hayo hasa magumu kama yanavyoonekana, atakayemjaribu tigo hatarudia tena....kazi kwao...mahindi mawili ya nguvu kama hayo katumbo ka mdada mlaini swafi kama huyo....noma..
 
ukiwa nae ataulizia pizza na maburger tu na bia ya kopo imported. wakiwa peke yao hawa hata safari lager wanagonga
 
Back
Top Bottom