mtamanyali
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,161
- 613
Imetulia mkuu
Mijitu mingine kuwa wenzao presha za bure tu, kama haskii alijuaje kuwa padre kauliza kitu?, mie ningempa ndosi moja la uso huyo dogo.
yaani ningekuwa ni mimi padre namuwasha bonge la kofi huyu jamaa
Haaa...kwa jinsi walivyokua waoga hao, lazima atakua ali ''tita'' kidogo aisee!
yaani ningekuwa ni mimi padre namuwasha bonge la kofi huyu jamaa