Sisikii

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,228
Padre akiuliza umati kabla ya kufungisha ndoa kanisani "kuna yeyote mwenye kipingamizi ndoa hii isifungwe?"

Sauti ikasikika nyuma "padre subiri kidogo." Kisha jamaa akasogea mbele mbele.
Padre: Je, unapingamizi lolote ndugu?
Jamaa: Hapana kule nyuma nlikua sikusikii vizuri.
 
yaani ningekuwa ni mimi padre namuwasha bonge la kofi huyu jamaa
 
Jamaa amezidisha utani mno hapo angeweza kumfanya mtu kuzimia
 
Bibi harusi na bwana harusi kaushuzi kembamba fyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!
 
Mijitu mingine kuwa wenzao presha za bure tu, kama haskii alijuaje kuwa padre kauliza kitu?, mie ningempa ndosi moja la uso huyo dogo.
 
Back
Top Bottom