Kingmaja
Member
- Sep 15, 2018
- 68
- 109
Sisi tupo Wakenya ni masikini sana nashangaa sana Wakenya wezangu humu wako wanajisifia tajiri kumbe hamuna kitu.
Kwenye fact acha tuseme kweli toka ashike power Magufuli naona TANZANIA iko mbele yetu na soon itatuacha mbali.
I wish Kenya tuko na Magufuli.
All de best Tanzania na leaders zenu, Wako wanaongoza nchi wenyewe for their benefit of de nation.
Huku kwetu Kenya tunazid kuwa watumwa wa white people, roho iko inaniuma sema siko na jinsi.
I LOVE KENYA
Kwenye fact acha tuseme kweli toka ashike power Magufuli naona TANZANIA iko mbele yetu na soon itatuacha mbali.
I wish Kenya tuko na Magufuli.
All de best Tanzania na leaders zenu, Wako wanaongoza nchi wenyewe for their benefit of de nation.
Huku kwetu Kenya tunazid kuwa watumwa wa white people, roho iko inaniuma sema siko na jinsi.
I LOVE KENYA