Hahahahahaa!! Inabidi nianze uzi kwa kicheko.
Tumepitia kipindi kigumu kama nchi. Licha ya kuwashauri kwa muda mrefu kwa kurudia rudia tukidhani wanatuelewa wakashupaza shingo.
Leo Rais Samia, Makamu wa Rais na makundi yake yote hawawezi kukwepa mdororo huu wa maji na umeme. Tumerudi mwaka 1990s tena kwa uzembe na kutokujali kwa viongozi na wenye mamlaka CCM.
Tulidai viongozi wanaowajibika na kuwa wawazi tukaambiwa sisi wapinzani tunawachelewesha. Sasa kiko wapi?
Leo uovu na uhalifu uliofanywa na serikali ya awamu ya tano wanataka kujivua na kumbebesha Januari Makamba ambaye yuko ofisni kwa Mwezi mmoja tu.
Hata kama Makamba anataka kuihujum serikali hawezi kuwa mjinga kiasi hicho akazima umeme na kukata maji wakati mmoja kwa spidi hii.
Hayati JPM alitamba nchi nzima akashawishi wananchi kwa ngumi na mateke kwamba wakichagua wapinzani hawatapa huduma za kijamii. Wapinzania wakaonekana kama mashetani kwenyr ardhi yao ya Tanzania.
Pale wananchi walipokaza kuchagua wapinzani bado wapinzani hao waliondolewa kwa nguvh ya mitutu na vyombo vya dola.
Mwisho wa siku tukasema haya isiwe nongwa. Majimbo yote, kata zote na vijiji vyote viko mikononi mwa CCM.
Vipi huko umeme na maji mnapata 100 kwa 100?
Tumepitia kipindi kigumu kama nchi. Licha ya kuwashauri kwa muda mrefu kwa kurudia rudia tukidhani wanatuelewa wakashupaza shingo.
Leo Rais Samia, Makamu wa Rais na makundi yake yote hawawezi kukwepa mdororo huu wa maji na umeme. Tumerudi mwaka 1990s tena kwa uzembe na kutokujali kwa viongozi na wenye mamlaka CCM.
Tulidai viongozi wanaowajibika na kuwa wawazi tukaambiwa sisi wapinzani tunawachelewesha. Sasa kiko wapi?
Leo uovu na uhalifu uliofanywa na serikali ya awamu ya tano wanataka kujivua na kumbebesha Januari Makamba ambaye yuko ofisni kwa Mwezi mmoja tu.
Hata kama Makamba anataka kuihujum serikali hawezi kuwa mjinga kiasi hicho akazima umeme na kukata maji wakati mmoja kwa spidi hii.
Hayati JPM alitamba nchi nzima akashawishi wananchi kwa ngumi na mateke kwamba wakichagua wapinzani hawatapa huduma za kijamii. Wapinzania wakaonekana kama mashetani kwenyr ardhi yao ya Tanzania.
Pale wananchi walipokaza kuchagua wapinzani bado wapinzani hao waliondolewa kwa nguvh ya mitutu na vyombo vya dola.
Mwisho wa siku tukasema haya isiwe nongwa. Majimbo yote, kata zote na vijiji vyote viko mikononi mwa CCM.
Vipi huko umeme na maji mnapata 100 kwa 100?