Sisi ndio wanaume bwana!


dahhhhh, aiseee....? hapana bana,
kuna magwiji hapa,....mimi mwanafunzi tu kwao!

 

dahhhhh, aiseee....? hapana bana,
kuna magwiji hapa,....mimi mwanafunzi tu kwao!

hahaah moskwito acha utani bana!
Hili ni suala ambalo halina mjadala kabisa, atakaebisha kwamba wewe ndio gwiji wa hili jukwaa basi hakyanani akapimwe mirembe
 
Bishanga Hureeeee!

Mungu akubariki kwa kuwa mkweli kaka!
 
Ubarikiwe dadangu, ukweli ndio huo na utaendelea kubaki hvyo. Hakuna wa kukumwagia radhi hapa, utanidai biya 1 ya pongezi kwa hii useful quote yako. Ahsante.
 
Tatizo la watu wanashabikia zaidi ya kutoa hoja nzito!
 
Wallaaahi siye ndie wanaumeee, wenye uumeee, ulio meaaaa, na elimu hapa ndio imekaaaa, mapenzi ndio nyumbaniiiii, twacheza taarab, kiduku, hip hop hadi slowzzz, na uanaume kujiamini 101%.

Komaaa, kama mkeo/gfriend wako hajakufumania live naked akawa anakusema una msaliti KATAAA HATA AKIWEKA KISU SHINGONI, na usiache kumsifia mkeo/demu wako kila mara na kosa kumwambia mambo ya kumdharau, ukiwa mwisho uko naye uwe kama huoni wanawake wengine.

Na ktk maamuzi uwe fair na msimamo pia mshirikishe, tafuta hela kama unaishi milele, na mkitoka out na mkeo mfurahishe, piga book kama Einstein ila usisahau mapenzi, piga job vizuri, majukumu ndio uanaume babuuu, pia @ 6x6 utundu mtindo mmoja.

Styles na utundu hauna idadi, piga hata deki, nenda kuleeeee, rudi ruka ukuta kidogooo ikibidi babuuu, nendaaaa kuleeeeee rudi hukuuuuuuuu, mguu pande mguu sawa, then tukaoge, anza huko huko bafuni libeneke ndio uanaume huo.

Blow jobs, usafi kama theluji weupe wake mapenzi yanoge, muogeshe mpake mafuta mwenzio mlaze mnyeshe uji/ juice/ mpoze mwenzi wako, mpepee, lala sasa, then wazia kazi babuuu sasa geuza mawazo kimaendeleo haraka, huo ndio uanaume na wanaume ndio sie Tall na sie ndio wanaumeeeee, thanx Asprin
 
MWANAUME siku zote, wiki zote na miezi yote ya dunia ni mali yake, ndo maana hakuna SIKU YA WANAUME DUNIAN.
hivi hujawahi kujiuliza kwa nini wanasiasa wengi ni wanaume? jiulize kisha nipe jibu ukizingatia taaluma ya siasa inahusiana na nini?why do most women stay away from politics?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…