Sishauri mtu kusoma PhD OUT

Sishauri mtu kusoma PhD OUT

We kweli ndio sababu ya uzembe na ujinha wa OUT. Kumbe tunashindana. Unataka nishindane na secretary?. Yani kunipangia supervisor unataka nishindane na mtu. Sina huo muda wa kushindana na mtu, Kama wanaona kunipangia supervisor ni shida basi nitaenda UDSM na nitamaliza ndani ya muda.

Ila nikuambie ukweli wewe mjinga ni kwamba chuo chenu ni sekondari, na Wala sitaki kukisikia Tena.

Hapa siitetei OUT wala Evelyn na wala huwa sicomment popote ila najaribu kutafakari mtu wa kusoma PhD kushindwa kujua njia sahihi ya kutatua tatizo lake na kukimbilia kwenye social media!! Mimi nipo hapo tuu!!

Sasa, arguments za mtu anayetaka kusoma PhD, ndiyo hizi?? Like serious??

Umeshindwa kuelewa phrase ndogo tu "Evelyn anakushinda...!" Utaweza kuandika hata hiyo concept note? Bro you are not serious hahahaahaaaaa!!! No wonder hata kazi yako haijasomwa hahahaaaaaa!!

Sikumaanisha ukashindane na Evelyn, nimemaanisha kutumia akili za kawaida kuwasiliana na Evelyn ukasolve unapokwama!! Namna hiyo ndiyo tunakutegemea ufanye tafiti zenye tija za kuisaidia jamii, nakuleta solution mujarabu kwa jamiii!! Hahahaaaaaaaaa!! Too narrow bro....!! Hivi hata jeshini hukupita ukapata mbinu mbadala za kukabiliana na binadamu na vikwazo vyao???

Tafuta PostGraduate Diploma yoyote kwanza uchangamshe ubongo kabla!! PhD naona OUT wapo right kabisa, hatuwezi kukutegemea uwe kwenye management na then mambo madogo tu unakimbilia kwenye social media! Yaan hukujua hata hatua za kuchukua, kweli?? Unataka PhD?? Aaaah!! Big no....!! WASOMI nyie ndiyo mnatuingiza kwenye mikataba isiyo na tija kwa taifa!!
 
Hapa siitetei OUT wala Evelyn na wala huwa sicomment popote ila najaribu kutafakari mtu wa kusoma PhD kushindwa kujua njia sahihi ya kutatua tatizo lake na kukimbilia kwenye social media!! Mimi nipo hapo tuu!!

Sasa, arguments za mtu anayetaka kusoma PhD, ndiyo hizi?? Like serious??

Umeshindwa kuelewa phrase ndogo tu "Evelyn anakushinda...!" Utaweza kuandika hata hiyo concept note? Bro you are not serious hahahaahaaaaa!!! No wonder hata kazi yako haijasomwa hahahaaaaaa!!

Sikumaanisha ukashindane na Evelyn, nimemaanisha kutumia akili za kawaida kuwasiliana na Evelyn ukasolve unapokwama!! Namna hiyo ndiyo tunakutegemea ufanye tafiti zenye tija za kuisaidia jamii, nakuleta solution mujarabu kwa jamiii!! Hahahaaaaaaaaa!! Too narrow bro....!! Hivi hata jeshini hukupita ukapata mbinu mbadala za kukabiliana na binadamu na vikwazo vyao???

Tafuta PostGraduate Diploma yoyote kwanza uchangamshe ubongo kabla!! PhD naona OUT wapo right kabisa, hatuwezi kukutegemea uwe kwenye management na then mambo madogo tu unakimbilia kwenye social media! Yaan hukujua hata hatua za kuchukua, kweli?? Unataka PhD?? Aaaah!! Big no....!! WASOMI nyie ndiyo mnatuingiza kwenye mikataba isiyo na tija kwa taifa
mkuu
Uongozi wa chuo kikuu una wajibu mkubwa wa kuwajibika kwa wanafunzi wanaosoma kuanzia undergraduate & postgraduate
kwa sababu utafiti wa kiwango cha degree ya pili na ya tatu ni muhimu kwa manufaa ya chuo na nchi mwanafunzi anahitaji mazingira mazuri ya kitaaluma, msaada wa kutosha, na mifumo madhubuti ya usimamizi. Umuhimu wa uongozi wa chuo kuwajibika kwa wanafunzi wa masters and PhD ni pamoja na yafuatayo:

1. Kuboresha Ubora wa Utafiti
• Uongozi wa chuo una jukumu la kuhakikisha kuwa wanafunzi wa masters and PhD wanapata rasilimali muhimu kama maktaba, maabara, na mifumo ya kisasa ya utafiti.
• Kusimamia ubora wa usimamizi wa tafiti ili kuhakikisha kila mwanafunzi anapata mwongozo bora kutoka kwa wasimamizi wake.
mfano wakati supervisor anapelekewa chapter one wajibu wa supervisor ni kushauri kutoa mapendekezo sasa kama supervisor hatoi ushirikiano hata wa kujibu email huyo ni supervisor hicho ni chuo?nini maana ya uongozi
mfano umepeleka title kama
The Influence of Green Human Resource Management (Green HRM) on Performance and Productivity in Higher Academic Institutions”
wajibu wa supervisor ni kukaa na mwanafunzi kushauriana pamoja na kutoa mapendekezo na sio ukimya wa kujibu email

2. Kulinda Haki za Wanafunzi
• Kuweka mifumo ya kushughulikia changamoto zinazowakumba wanafunzi wa PhD, kama ucheleweshaji wa usimamizi, migogoro na wasimamizi, au ucheleweshaji wa tathmini za tasnifu.
• Kuhakikisha wanafunzi wanahifadhiwa dhidi ya unyanyasaji wa kitaaluma, upendeleo, na changamoto zingine zinazoweza kuathiri maendeleo yao.pamoja na mazingira ya rushwa

3. Kuwezesha Mazingira Rafiki ya Kujifunza
• Kuanzisha sera zinazoimarisha mazingira mazuri ya kitaaluma, ikiwa ni pamoja na upatikanaji wa fursa za mafunzo ya ziada, ushauri wa kitaaluma, na msaada wa kisaikolojia kwa wanafunzi wa masters and PhD.
• Kutoa ufadhili wa tafiti au usaidizi wa kifedha kwa wanafunzi wanaohitaji, ili kuhakikisha kuwa masomo hayaendi kusuasua kutokana na changamoto za kifedha.

4. Kuhakikisha Usimamizi Bora wa PhD
• Kuweka na kusimamia taratibu madhubuti za kuhakikisha kuwa wasimamizi wa masters and PhD wanatekeleza majukumu yao ipasavyo, ikiwa ni pamoja na kutoa mrejesho kwa wakati.
• Kusimamia tathmini za mara kwa mara za maendeleo ya wanafunzi wa PhD ili kubaini changamoto na kuzitatua mapema.

5. Kukuza Sifa ya Chuo Kikuu
• PhD zenye ubora huongeza hadhi ya chuo kimataifa, kwani machapisho ya kisayansi yanayotokana na tafiti hizo yanasaidia kupandisha viwango vya chuo. pamoja na kupunguza malalamiko na kujenga huduma bora yenye huduma safi na yenye kuigwa
hapa ndio tatizo lilipo

• Wanataaluma waliomaliza kwa mafanikio huchangia maendeleo ya jamii, jambo linaloleta heshima kwa chuo husika.

Kwa ujumla, uongozi wa chuo unapaswa kuhakikisha kuwa mfumo wa usimamizi wa wanafunzi wa masters and PhD unafanya kazi kwa ufanisi, ili kuwasaidia wanafunzi kumaliza masomo yao kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa. Ikiwa uongozi hautawajibika, wanafunzi wanaweza kukumbana na ucheleweshaji, msongo wa mawazo, na changamoto nyingine zinazoweza kuathiri mafanikio yao kitaaluma.
kama haya mambo hayapo chuoni ama hayapo kwa kiwango hiki tarajia malalamiko mengi
nafikiri kama kuna utaratibu mzuri malalamiko hayawezi kuwepo hata yakiwepo yatatuliwa kwa ubora wa hali ya juu

Tusibeze watu wanaosoma duniani imeendelea kutokana na tafiti hizihizi kusoma PhD sio kwamba ndio usipewe huduma bora kabisa
taasisi inayodharau wateja huwa inaanguka sababu ni vitu viwili vinategemeana
 
mkuu
Uongozi wa chuo kikuu una wajibu mkubwa wa kuwajibika kwa wanafunzi wanaosoma kuanzia undergraduate & postgraduate
kwa sababu utafiti wa kiwango cha degree ya pili na ya tatu ni muhimu kwa manufaa ya chuo na nchi mwanafunzi anahitaji mazingira mazuri ya kitaaluma, msaada wa kutosha, na mifumo madhubuti ya usimamizi. Umuhimu wa uongozi wa chuo kuwajibika kwa wanafunzi wa masters and PhD ni pamoja na yafuatayo:

1. Kuboresha Ubora wa Utafiti
• Uongozi wa chuo una jukumu la kuhakikisha kuwa wanafunzi wa masters and PhD wanapata rasilimali muhimu kama maktaba, maabara, na mifumo ya kisasa ya utafiti.
• Kusimamia ubora wa usimamizi wa tafiti ili kuhakikisha kila mwanafunzi anapata mwongozo bora kutoka kwa wasimamizi wake.
mfano wakati supervisor anapelekewa chapter one wajibu wa supervisor ni kushauri kutoa mapendekezo sasa kama supervisor hatoi ushirikiano hata wa kujibu email huyo ni supervisor hicho ni chuo?nini maana ya uongozi
mfano umepeleka title kama
The Influence of Green Human Resource Management (Green HRM) on Performance and Productivity in Higher Academic Institutions”
wajibu wa supervisor ni kukaa na mwanafunzi kushauriana pamoja na kutoa mapendekezo na sio ukimya wa kujibu email

2. Kulinda Haki za Wanafunzi
• Kuweka mifumo ya kushughulikia changamoto zinazowakumba wanafunzi wa PhD, kama ucheleweshaji wa usimamizi, migogoro na wasimamizi, au ucheleweshaji wa tathmini za tasnifu.
• Kuhakikisha wanafunzi wanahifadhiwa dhidi ya unyanyasaji wa kitaaluma, upendeleo, na changamoto zingine zinazoweza kuathiri maendeleo yao.pamoja na mazingira ya rushwa

3. Kuwezesha Mazingira Rafiki ya Kujifunza
• Kuanzisha sera zinazoimarisha mazingira mazuri ya kitaaluma, ikiwa ni pamoja na upatikanaji wa fursa za mafunzo ya ziada, ushauri wa kitaaluma, na msaada wa kisaikolojia kwa wanafunzi wa masters and PhD.
• Kutoa ufadhili wa tafiti au usaidizi wa kifedha kwa wanafunzi wanaohitaji, ili kuhakikisha kuwa masomo hayaendi kusuasua kutokana na changamoto za kifedha.

4. Kuhakikisha Usimamizi Bora wa PhD
• Kuweka na kusimamia taratibu madhubuti za kuhakikisha kuwa wasimamizi wa masters and PhD wanatekeleza majukumu yao ipasavyo, ikiwa ni pamoja na kutoa mrejesho kwa wakati.
• Kusimamia tathmini za mara kwa mara za maendeleo ya wanafunzi wa PhD ili kubaini changamoto na kuzitatua mapema.

5. Kukuza Sifa ya Chuo Kikuu
• PhD zenye ubora huongeza hadhi ya chuo kimataifa, kwani machapisho ya kisayansi yanayotokana na tafiti hizo yanasaidia kupandisha viwango vya chuo. pamoja na kupunguza malalamiko na kujenga huduma bora yenye huduma safi na yenye kuigwa
hapa ndio tatizo lilipo

• Wanataaluma waliomaliza kwa mafanikio huchangia maendeleo ya jamii, jambo linaloleta heshima kwa chuo husika.

Kwa ujumla, uongozi wa chuo unapaswa kuhakikisha kuwa mfumo wa usimamizi wa wanafunzi wa masters and PhD unafanya kazi kwa ufanisi, ili kuwasaidia wanafunzi kumaliza masomo yao kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa. Ikiwa uongozi hautawajibika, wanafunzi wanaweza kukumbana na ucheleweshaji, msongo wa mawazo, na changamoto nyingine zinazoweza kuathiri mafanikio yao kitaaluma.
kama haya mambo hayapo chuoni ama hayapo kwa kiwango hiki tarajia malalamiko mengi
nafikiri kama kuna utaratibu mzuri malalamiko hayawezi kuwepo hata yakiwepo yatatuliwa kwa ubora wa hali ya juu

Tusibeze watu wanaosoma duniani imeendelea kutokana na tafiti hizihizi kusoma PhD sio kwamba ndio usipewe huduma bora kabisa
taasisi inayodharau wateja huwa inaanguka sababu ni vitu viwili vinategemeana

Umeongea vyema sana Mkuu, hili nakubaliana nawe kwa 100%. Najua kuna matatizo mengi, tena sana!

Mimi kama mdau wa UD, OUT pamoja na UNISA, OUT inaongoza kwa kutoa watu on time, ukijua nini unataka, wapi? Kwa nani? Kutibitisha fuatilia facts and figures kwenye website lakini ukipata fursa ya kupitia vitabu vya mahafali utaona registation numbers nyingi kwa miaka na utaelewa.

Hawa ni wale walipopata barua wakaanza kuwasiliana na Supervisor na kusikiliza majungu ya mtaani kwa haingiliki bila kuanzia vituo vya mikoa wakamconnect vyema!! Au wanakimbilia makao makuu wakidhani pale pana msaada wa haraka!! Watumishi wa vituo vya mikoa ni msaada mkubwa, wanajua watumishi wenzao wanaingilika vipi!?

Kwa sasa, OUT ukizidisha muda unaotakiwa kuwa kama mwanafuzi unafutwa kwenye system ukatafute chuo kingine au uanze upya! Hii imesaidia ku-push sana kazi za wanafunzi ili wamalize kwa wakati.

Nikupongeze Mkuu, bandiko lako lina hadhi ya mtu mwenye kutaka kusoma PhD pasina shaka. Na mimi nikuhakikishie kuwa sina ubavu wa kuibeza elimu ya Tanzania hata kidogo, mwenyewe nimesoma humu humu!!

Kilichonipa hofu na hii elimu yetu, ni kuona mwanafunzi wa PhD anakimbilia kwenye social media kulalamikia changamoto za kusoma!! Je, anatufaa kama Manager huyu?? Yaan hajamuona Makamu Mkuu wa Chuo na Manaibu wake hususani anayesimamia Reaserch kaona njia sahihi ni Social Media??
 
Umeongea vyema sana Mkuu, hili nakubaliana nawe kwa 100%. Najua kuna matatizo mengi, tena sana!

Mimi kama mdau wa UD, OUT pamoja na UNISA, OUT inaongoza kwa kutoa watu on time, ukijua nini unataka, wapi? Kwa nani? Kutibitisha fuatilia facts and figures kwenye website lakini ukipata fursa ya kupitia vitabu vya mahafali utaona registation numbers nyingi kwa miaka na utaelewa.

Hawa ni wale walipopata barua wakaanza kuwasiliana na Supervisor na kusikiliza majungu ya mtaani kwa haingiliki bila kuanzia vituo vya mikoa wakamconnect vyema!! Au wanakimbilia makao makuu wakidhani pale pana msaada wa haraka!! Watumishi wa vituo vya mikoa ni msaada mkubwa, wanajua watumishi wenzao wanaingilika vipi!?

Kwa sasa, OUT ukizidisha muda unaotakiwa kuwa kama mwanafuzi unafutwa kwenye system ukatafute chuo kingine au uanze upya! Hii imesaidia ku-push sana kazi za wanafunzi ili wamalize kwa wakati.

Nikupongeze Mkuu, bandiko lako lina hadhi ya mtu mwenye kutaka kusoma PhD pasina shaka. Na mimi nikuhakikishie kuwa sina ubavu wa kuibeza elimu ya Tanzania hata kidogo, mwenyewe nimesoma humu humu!!

Kilichonipa hofu na hii elimu yetu, ni kuona mwanafunzi wa PhD anakimbilia kwenye social media kulalamikia changamoto za kusoma!! Je, anatufaa kama Manager huyu?? Yaan hajamuona Makamu Mkuu wa Chuo na Manaibu wake hususani anayesimamia Reaserch kaona njia sahihi ni Social Media??
Ni kweli pamoja na changamoto zote OUT naweza sema kwa Tanzania ndio

inaongoza kwa kutoa postgraduate wengi. Mara nyingi wanakuwa 500 plus na kati yao
PhD wanakuwa ni kati ya 55 na 70

Hivyo jamaa anatakiwa aboreshe problem solving skills zake.
Jifunze lobbying, mfano wewe unachukulia kiurahisi nafasi ya
supervisor wa pili. Umeshindwa kukaa nae uongea nae juu ya
Kukwama kwako ili mjadili mnatatua vipi. Anaweza kuongea na huyo
Main Supervisor.

Kama unavyosema Mpiga Pasipoti ni kweli PhD student lazima
awe na uwezo mkubwa wa kutatua changamoto zaidi ya kulalamika.

Kama kila mwaka wana graduate zaidi ya PhD 50 unakosa justification
inaonekana wewe ni dhaifu na kwa OUT ili ufaulu lazima uwe strong ( survival
for fittest.

Kama ulidhani unaenda pale OUT kuchukua tuu PhD kama wengine
huko mtaani wanavyodhani ni rahisi basi hapo ndio uelewe ugumu.
Changamoto kama hizo ni sehemu ya elimu kwa sababu hata kwenye kazi
na maisha utazikuta na ukiweze kuzishinda ndio inaonesha uimara na ubobevu
wako.

Mimi sikushauri kukimbia chuo wewe unapaswa ufuate channels
utatuzi wa tatizo, face right people and be focused.

Wewe tumekusikiliza je Supervisor nae akipewa nafasi ya kusema
inawezekana na wewe una changamoto zako. Mfano baadhi ya wanafunzi
wakitumiwa kazi wanakaa nayo zaidi ya mwezi hajatuma sasa kwa supervisor
wakali kama huyo wa kwako huwa hawapendi na anaweza kukupotezea.
 
Ni kweli pamoja na changamoto zote OUT naweza sema kwa Tanzania ndio

inaongoza kwa kutoa postgraduate wengi. Mara nyingi wanakuwa 500 plus na kati yao
PhD wanakuwa ni kati ya 55 na 70

Hivyo jamaa anatakiwa aboreshe problem solving skills zake.
Jifunze lobbying, mfano wewe unachukulia kiurahisi nafasi ya
supervisor wa pili. Umeshindwa kukaa nae uongea nae juu ya
Kukwama kwako ili mjadili mnatatua vipi. Anaweza kuongea na huyo
Main Supervisor.

Kama unavyosema Mpiga Pasipoti ni kweli PhD student lazima
awe na uwezo mkubwa wa kutatua changamoto zaidi ya kulalamika.

Kama kila mwaka wana graduate zaidi ya PhD 50 unakosa justification
inaonekana wewe ni dhaifu na kwa OUT ili ufaulu lazima uwe strong ( survival
for fittest.

Kama ulidhani unaenda pale OUT kuchukua tuu PhD kama wengine
huko mtaani wanavyodhani ni rahisi basi hapo ndio uelewe ugumu.
Changamoto kama hizo ni sehemu ya elimu kwa sababu hata kwenye kazi
na maisha utazikuta na ukiweze kuzishinda ndio inaonesha uimara na ubobevu
wako.

Mimi sikushauri kukimbia chuo wewe unapaswa ufuate channels
utatuzi wa tatizo, face right people and be focused.

Wewe tumekusikiliza je Supervisor nae akipewa nafasi ya kusema
inawezekana na wewe una changamoto zako. Mfano baadhi ya wanafunzi
wakitumiwa kazi wanakaa nayo zaidi ya mwezi hajatuma sasa kwa supervisor
wakali kama huyo wa kwako huwa hawapendi na anaweza kukupotezea.
Ushauri poa sana huu
 
B
Hapa siitetei OUT wala Evelyn na wala huwa sicomment popote ila najaribu kutafakari mtu wa kusoma PhD kushindwa kujua njia sahihi ya kutatua tatizo lake na kukimbilia kwenye social media!! Mimi nipo hapo tuu!!

Sasa, arguments za mtu anayetaka kusoma PhD, ndiyo hizi?? Like serious??

Umeshindwa kuelewa phrase ndogo tu "Evelyn anakushinda...!" Utaweza kuandika hata hiyo concept note? Bro you are not serious hahahaahaaaaa!!! No wonder hata kazi yako haijasomwa hahahaaaaaa!!

Sikumaanisha ukashindane na Evelyn, nimemaanisha kutumia akili za kawaida kuwasiliana na Evelyn ukasolve unapokwama!! Namna hiyo ndiyo tunakutegemea ufanye tafiti zenye tija za kuisaidia jamii, nakuleta solution mujarabu kwa jamiii!! Hahahaaaaaaaaa!! Too narrow bro....!! Hivi hata jeshini hukupita ukapata mbinu mbadala za kukabiliana na binadamu na vikwazo vyao???

Tafuta PostGraduate Diploma yoyote kwanza uchangamshe ubongo kabla!! PhD naona OUT wapo right kabisa, hatuwezi kukutegemea uwe kwenye management na then mambo madogo tu unakimbilia kwenye social media! Yaan hukujua hata hatua za kuchukua, kweli?? Unataka PhD?? Aaaah!! Big no....!! WASOMI nyie ndiyo mnatuingiza kwenye mikataba isiyo na tija kwa taifa!!
Duh! Mungu tutie nguvu sisi ni wanyonge
 
Ni kweli pamoja na changamoto zote OUT naweza sema kwa Tanzania ndio

inaongoza kwa kutoa postgraduate wengi. Mara nyingi wanakuwa 500 plus na kati yao
PhD wanakuwa ni kati ya 55 na 70

Hivyo jamaa anatakiwa aboreshe problem solving skills zake.
Jifunze lobbying, mfano wewe unachukulia kiurahisi nafasi ya
supervisor wa pili. Umeshindwa kukaa nae uongea nae juu ya
Kukwama kwako ili mjadili mnatatua vipi. Anaweza kuongea na huyo
Main Supervisor.

Kama unavyosema Mpiga Pasipoti ni kweli PhD student lazima
awe na uwezo mkubwa wa kutatua changamoto zaidi ya kulalamika.

Kama kila mwaka wana graduate zaidi ya PhD 50 unakosa justification
inaonekana wewe ni dhaifu na kwa OUT ili ufaulu lazima uwe strong ( survival
for fittest.

Kama ulidhani unaenda pale OUT kuchukua tuu PhD kama wengine
huko mtaani wanavyodhani ni rahisi basi hapo ndio uelewe ugumu.
Changamoto kama hizo ni sehemu ya elimu kwa sababu hata kwenye kazi
na maisha utazikuta na ukiweze kuzishinda ndio inaonesha uimara na ubobevu
wako.

Mimi sikushauri kukimbia chuo wewe unapaswa ufuate channels
utatuzi wa tatizo, face right people and be focused.

Wewe tumekusikiliza je Supervisor nae akipewa nafasi ya kusema
inawezekana na wewe una changamoto zako. Mfano baadhi ya wanafunzi
wakitumiwa kazi wanakaa nayo zaidi ya mwezi hajatuma sasa kwa supervisor
wakali kama huyo wa kwako huwa hawapendi na anaweza kukupotezea.
Brother umedadavua vema, na inaonekana una busara sana.

Sio kama yule mpiga paspoti, ana hoja lakini pia ana maneno makali 😂, ana Spana

Brother nimefurahishwa na majibu yako. Sikujui ila Mungu akubariki sana brother
 
nadhan toka prof Mbwete atoke pale kumekua na kauxenge flan , mmi nimesoma pale undergraduate miaka ya nyuma nilipata scholarship yakupiga kitabu mbele ikatakiwa barua kutoka chuo huwezi kuamini vile vixenge vilikua havipokei simu kujibu email na ukienda ofisin unavikuta na vinakukataa nafas ikapotea kiboya , ila prof Tolly Mbwete (RIP) alikua mtu mno
 
Phd ya nini?, hazina maana yoyote kama uko bongo nyoso....

1742578067212.png
 
UDSM wamebadilika kwa Sasa. Kuna system ya kumonitor masupervisor sio kama OUT. Unafunga safari na kwenda pale Biafra unaambiwa supervisor wako yupo nje ya nchi subiri akirudi. Unakaa miezi SITA ukirudi Tena unaambiwa yupo Kanda ya ziwa ameenda kusimamia mitihani. Ni shida tu OUT tukubali.
Dah hatari sana
 
Back
Top Bottom