Tupe mbinu wote MamaUna E-mail ya huyo supervisor mwanangu? Kama unayo nijibu nkupe mbinu pm.
Open university ni upuuzi mtu walini potezea muda ikabidi niache chuo ni upuuzi watu wanajiona miungu
adui wa mwafrika ni mwafrikaBora VETA, Hawa Maprofesa Wana roho za ajabu Sana.
Mtag shibeKuna mtu natamani nimtag au basi we jamaa "N"jilete mwenyewe ujibu hoja za mdau!
udikteta inabidi urudi tuNadhani somo la 'huduma kwa wateja' hawakulifaulu vizuri.
Sasa kama UDSM - si itabidi uingie full time?UDSM wamebadilika kwa Sasa. Kuna system ya kumonitor masupervisor sio kama OUT. Unafunga safari na kwenda pale Biafra unaambiwa supervisor wako yupo nje ya nchi subiri akirudi. Unakaa miezi SITA ukirudi Tena unaambiwa yupo Kanda ya ziwa ameenda kusimamia mitihani. Ni shida tu OUT tukubali.
Aina ya ma lecturer tulio nao , wanataka kuona wanafunzi wanateseka, ka wao walivyopata shida wakati wanafunzi. Badala wa muwezeshe mwanafunzi ku gain credible knowledge, wao wanataka ateseke?Kuna lecturer wangu mmoja alisema Namnukuu "mimi nilipata kwa tabu sana hii phd yangu alafu wewe ndo uje upate course work kirahisi"
Nakwambia robo tatu ya darasa tulikunja "C" lile somo 🙌
Anaitwa N atajileta tu ajibu hoja!Mtag shibe
Ndio kinatoa mafunzo bila umuhimu wa kuwa na mahudhurio ya darasani , mfano unaweza jiunga tu na kusomea mtandaoni kwa njia ya video au audio tu.Hivi Open University kwa Kiswahili ni Chuo Huru?
Hapo wengi wanaosoma ni wale waajiriwa wa Serikali wanaotafuta vyeti ili wapandishwe vyeo ila kichwani wanakuwa watupuNdio kinatoa mafunzo bila umuhimu wa kuwa na mahudhurio ya darasani , mfano unaweza jiunga tu na kusomea mtandaoni kwa njia ya video au audio tu.
Watetezi wa demokrasia wataruka na wewe hivi punde!udikteta inabidi urudi tu
hakuna namna
Si waajiriwa wote wanaosoma out kichwani ni watupu brother, kuna best performers wapo wengi tu. Sema wamekuwa overshadowed na viongoz vilaza, hawataki waonekaneHapo wengi wanaosoma ni wale waajiriwa wa Serikali wanaotafuta vyeti ili wapandishwe vyeo ila kichwani wanakuwa watupu
Sijui unamaanisha nini hapa!Hapo wengi wanaosoma ni wale waajiriwa wa Serikali wanaotafuta vyeti ili wapandishwe vyeo ila kichwani wanakuwa watupu