Sishauri Forker 50 na Forker 28 ziwe 'Branded' kama Ndege za Kibiashara za ATCL

Kimsingi mheahimiwa rais kakosea Sana kutoa hiyo kauli. Kwa mfano makamu wake rais je atasafiria Nini?
Kesho akiachia madaraka hizo ndege zinarudi Tena kwa rais Kama second hand?

Sababu ya yeye kutokutumia ndge isimfanye akaonekana Kama joka la mdimu. Ndimu halili na hata mwenzie naye asikule.

Halafu nafikir mheshimiwa Ben MKapa aliposema rais aache kauli za kusema "Mimi, Mimi au serikali yangu, serikal yangu" bado hakumuelewesha vzr mheshimiwa rais.

Kama serikal ninya CCM Basi lazima serikal hii ijue Mali za rais siyo Mali za mtu bali ni za taifa. Any change of use lazima ifwate process na siyo kauli tuu ya mtu mmoja
Ngoja wakusikie wenye rais wao ?

Yaani huwaambii kitu hicho ulichoandika hapo uharo mtupu.

Yaani wao ni mbele kwa mbele

Yaani tawile tawile baaba tawile!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza naomba kujua kwanini waliozinunua walinunua tatu na sio moja au nne au saba?

Kuna sababu yoyote ya kipekee kwa hiyo namba kuwa 3?

Pili, je huko zinakotaka kupelekwa zinahitajika?
Yani kuna abiria wengi kiasi kwamba hata ile inayobeba mbuzi imeshafunga siti za watu na imezidiwa na mzigo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni ' dharau ' kubwa kwa Marais waliopita kuanzia Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Mzee Kikwete kwa Mtu mmoja leo kuamua kwa ' Kukurupuka ' tu kuwa Ndege za Rais Forker 50 na Forker 28 ziwe ' Branded ' kama ' Commercial Planes ' za ATCL.

Hili halipo na halijawahi kutokea nchi yoyote ile duniani na naamini hata tungekuwa Mbinguni Kwake Mwenyezi Mungu hata Yeye pia asingefanya hiki ' Kituko ' ambacho GENTAMYCINE nakiita ni cha Kufungulia mwaka huu ambao bado ni mbichi kabisa wa 2019.

Hoja kwamba zipakwe rangi kisha zichuke Abiria kwakuwa huwa zinakuwa ' grounded ' tu na kwamba hata mwenye Kuhusika nazo huwa hazitumii kwakuwa hasafiri mara kwa mara kutolewa na ' PhD Holder ' kidogo ni kutaka Kuwadhalilisha ' Intellectuals ' wote nchini Tanzania.

Wasaidizi wa Rais hebu fanyeni Kazi zenu vyema Kwake kwa Kumshauri mnaogopa nini? Hivi Sekta ya Anga ya leo au ATCL ya leo inahitaji kweli hadi hata Ndege za Marais nazo ziwe ' branded ' na zijumuishwe kama Ndege za Biashara na Kubeba Abiria? Je kuna hilo hitaji kweli?

Ningeambiwa au ningesikia Hoja kwamba labda Ndege hizo ziuzwe na ibaki moja kisha hizo Hela zitumike Kuimarisha Sekta ya Kilimo ambayo inahitaji msaada na ungalizi mkubwa ningemwelewa Mheshimiwa Rais na ningekubaliana nae kwa 100% ila kwa hii Hoja yake ya leo nampinga na naona ni kama vile ' Tusi ' kwa Watangulizi wake.

Wengine tumeumbwa kuwa wakweli na wawazi hivi hivyo mtusamehe tu na tuvumiliane. Tuache Kukurupuka na kuwa na ' Mihemko ' isiyo na Tija wala Mantiki. Halafu akina Donald Trump ' wakitutukana ' Waafrika huwa tunalalamika na kuona labda anatuonea wakati kumbe huwa yuko sahihi tena kwa 100% zote kutokana na ' Madhaifu ' yetu ya asili.

Nimesikitika!

Nawasilisha.
wewe ni moja ya watu wasiotumia akili kichwani mwako.
 
Sio Sumaye ni Bazili Mramba wakati huo Waziri wa fedha
Kati ya hizo tatu gulfstream peke yake ndo customized,nadhani ndo ile Sumaye alituambia hata tule nyasi lazima ndege ya Rais inunuliwe
 
Ni assets ambazo zina depreciate with time, atayekuja anaweza akaikuta juu ya mawe. Pia kuna uzi humu jf watu waliuliza ile ndege iko wapi na inafanya nini maana haitumiki, sasa imepewa matumizi wale wale wanakuja bwabwaja kwa nini inatumiwa.
Ile nyingine nadhani ndio itabaki. Yaani badala ya kuwa na ndege 3 sasa itabaki moja
 
Usually zile za VIPs zinakuwa na seat customized. Hazikununuliwa kwa matumizi ya wakubwa?
Mimi nazani kama kuna ulazima wa kubadili mpangilio wa viti basi hivo viti vitaagizwa na kufungwa hapa hapa Tz. Cost za kuzipeleka ulaya ili kufungwa viti ni kubwa mno. Kwa kuangalia maamuzi anayo yafanya Magu hilo silioni likifanyika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah leo nimetoa likes za kutosha kwa kila member anaekubaliana na Rais Wetu mpendwa. Sijawahi kuona Uzi wa kipuuzi kama huu wa huyu jamaa tangu mwaka unaanza.
Wewe utakua sio Mtanzania.Kwamba ndege badala ya kukaa tu sasa raisi kasema zikabebe watu zilete Faida Unaona ni Nongwa nadhani hata majirani zako wakifanikiwa kimaisha huwa unaumia sana/ Una husda sana wewe jamaa.
 
GENTAMYCINE nikitoa ' Critical Observations ' zangu hapa naambiwa ' Msaliti ' au ' Mpinzani ' au ' Natumika ' ila kama kuna ' Presidential Blunder ' hasa ya Kimaamuzi aliyowahi kuifanya Rais JPM ni hii ya leo. Nimesikitika na Kushangaa mno na hadi sasa najiuliza je JPM ana ' Washauri ' wake kweli? Je wanamsaidia?
Mkuu wewe ni mdogo sana ktk nchi hii na akili yako ni ndogo sana kama punje ya mchanga ukilinganisha na akili JPM endapo kama tungeweza kuwalinganisha. Kwahiyo, kusikitika kwako haina madhara yoyote kwetu, kwa taifa na kwa muhusika JPM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni ' dharau ' kubwa kwa Marais waliopita kuanzia Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Mzee Kikwete kwa Mtu mmoja leo kuamua kwa ' Kukurupuka ' tu kuwa Ndege za Rais Forker 50 na Forker 28 ziwe ' Branded ' kama ' Commercial Planes ' za ATCL.

Hili halipo na halijawahi kutokea nchi yoyote ile duniani na naamini hata tungekuwa Mbinguni Kwake Mwenyezi Mungu hata Yeye pia asingefanya hiki ' Kituko ' ambacho GENTAMYCINE nakiita ni cha Kufungulia mwaka huu ambao bado ni mbichi kabisa wa 2019.

Hoja kwamba zipakwe rangi kisha zichuke Abiria kwakuwa huwa zinakuwa ' grounded ' tu na kwamba hata mwenye Kuhusika nazo huwa hazitumii kwakuwa hasafiri mara kwa mara kutolewa na ' PhD Holder ' kidogo ni kutaka Kuwadhalilisha ' Intellectuals ' wote nchini Tanzania.

Wasaidizi wa Rais hebu fanyeni Kazi zenu vyema Kwake kwa Kumshauri mnaogopa nini? Hivi Sekta ya Anga ya leo au ATCL ya leo inahitaji kweli hadi hata Ndege za Marais nazo ziwe ' branded ' na zijumuishwe kama Ndege za Biashara na Kubeba Abiria? Je kuna hilo hitaji kweli?

Ningeambiwa au ningesikia Hoja kwamba labda Ndege hizo ziuzwe na ibaki moja kisha hizo Hela zitumike Kuimarisha Sekta ya Kilimo ambayo inahitaji msaada na ungalizi mkubwa ningemwelewa Mheshimiwa Rais na ningekubaliana nae kwa 100% ila kwa hii Hoja yake ya leo nampinga na naona ni kama vile ' Tusi ' kwa Watangulizi wake.

Wengine tumeumbwa kuwa wakweli na wawazi hivi hivyo mtusamehe tu na tuvumiliane. Tuache Kukurupuka na kuwa na ' Mihemko ' isiyo na Tija wala Mantiki. Halafu akina Donald Trump ' wakitutukana ' Waafrika huwa tunalalamika na kuona labda anatuonea wakati kumbe huwa yuko sahihi tena kwa 100% zote kutokana na ' Madhaifu ' yetu ya asili.

Nimesikitika!

Nawasilisha.
Tumeshaamua kama hutaki rudi kwenu Machochwe!!
 
Nashukuru Mungu kuwa kupitia tu ' Uzi ' wangu huu nimeweza sasa kuwajua wale ' Waliobarikiwa ' kwa ' Upumbavu ' hadi Milele. Nimeweka wazi sana Hoja yangu kuwa sishauri hizo Ndege za Rais ziwe ' branded ' hivyo na zibebe ' Abiria ' kwa Hoja ya Rais kama alivyosema na kama nia ni Kuiongezea Mapato ATCL na Kuimarisha Sekta ya Anga nchini basi hizo Ndege kama ziko Tatu mbili zibebe Abiria ila Ndege moja ibaki vile vile kuwa ni ' Maalum ' tu kwa Kumbeba Mheshimiwa Rais au Makamu wake au Waziri Mkuu wake lakini zote zisifanywe zikawa za Abiria. Na kama haitoshi katika Maelezo yangu nisema vyema tu kuwa kama ikiwezekana basi ni bora hizo Ndege ziuzwe na Hela inayopatikana hapo ielekezwe katika Sekta muhimu ya Kilimo ambayo Kwangu Mimi bado inahihati nguvu kubwa lakini bado ' Mifungulu Ngenge ' fulani isiyojua Kufikiri na inayojua tu Kujipendekeza kama siyo Kujikomba inatetea.

Ngoja niendelee ' Kuwadharau ' hapa.

Cc: Saguda47 , heavyload, narumuk , retweeted , jogoo_dume , idawa , sonaderm , Rogojin The Idiot , Elly official , kakolaki , Lokissa , MWALLA
Uhai wa ndege ni kuwa hewani ikiwa imepaki inakufa mapema ni sawa na gari, ukiipaki mwaka 1 hadi 2 inapata dents na kisha inakatika na kuwa screper. Raisi yuko sahihi 100%.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom