Sishauri Forker 50 na Forker 28 ziwe 'Branded' kama Ndege za Kibiashara za ATCL

Sio lazima uanze routes ndio ujue kama ndege ulizonazo zitatumika to full capacity; kuna wataalam wanafanya kazi yao na kujua demand ya seats za kila route. Mpaka sasa hizo safari na routes unazosema compétition ni very fierce mpaka hiyo DREAMLINER imeishia kubeba MBUZI kwenda Dubai. Hizo safari za India na China mpaka leo ni ndoto; kwani hata wakienda wana uhakika gani kuwa watakuwa na passengers na cargo ya kutosha wakati wa return leg!

Kuhusu kuziuza hizo ndege you will be better off kuziuza pale unapopata bei nzuri kuliko kuzifuga bila matumizi!! Locally mpaka sasa zile Bombardier na Airbus zinatosha kabisa na hata kuwa na excess capacity so the only rational decision ni kuuza hizo ndege za serikali kwa mbei nzuri.
Muwe mnafanya utafiti kabla ya kuandika. Nani kasema dreamliner ilienda Dubai? Acha upotoshaji wenu. Nyama ya mbuzi ilikuwa mzigo kama mizigo mingine GENTAMYCINE
 
Wewe na wenzio, mlioumia na system ya uongozi wa JPM, tunajua mko wengi sana,na kwa ujumla mmebanwa na kushikwa pabaya sana.
Ingawa unaongea kwa kuzidi kujaa sumu, mimi nitaendelea kukueleza ukweli.

Kwanza kauli zako ni ushahidi wazi tukuelewe, ya kwamba wewe unaweza kabisa kuwa wale wafanya matukio, halafu yakatupiwa lawama upande usiohusika.

Lakini pia usijipe" brand" kwamba wewe humu ni think tank.nasema wazi kila member humu ana haki sawa na mwingine yeyote ambaye amekidhi vigezo vya kumridhisha moderator kumuachia kuchangia bila kuvunja masharti na vigezo vya JF. (Ingawa siku zinavyosonga, kejeli na matusi yanazidi kuongezeka kwa baadhi ya wachangiaji).

Nashangaa unajiita mahiri, lakini unalipuka kwa vipande vidogo tu vya ukweli.
Je ungefanikiwa kuukwaa ukubwa wewe na unayemkosoa mna tofauti gani???.

Ungekuwa msomi lazima ungekuwa mstaarabu pia, na usingetoa vitisho vya maisha humu JF.hili ni jukwaa huru

na hupaswi kuligeuza kama jamvi la watu wa mlengo fulani na kujigeuza VIP wa JF ambaye ni untouchable.
Lakini pia ungekuwa smart usingetiririka humu hadi kufikia kutishia member maisha. Hii inaweza kuja kutumika kama• water tight evidence •

Jaribu kuacha mihemuko isiyo ya lazima na ukubali kuambiwa ukweli. Hata kama huupendi.

Nchi hii kabla ya JPM kushika madaraka ya urais, tayari tulikuwa tunaelekea kwenye mgawanyiko mkubwa kitabaka. Na enzi hizo kauli na vitisho kama hivi ulivyovitoa leo humu ndiyo ilikuwa lugha ya mtaani.

Kila aliyewahi kubahatika kuwa aidha na rafiki au ndugu mwenye madaraka,

itokeapo aidha katika hali ya kawaida iwe bar,kijiweni au hata mmepata ajali ya magari yenu kukwaruzana kidogo na hata bila kujali nani mkosefu.
Ilikuwa anapiga simu na dakika mbili kufumba na kufumbua zitatokea zitakako tokea iwe defender au whatever ,na kukusomba bila kutaka kujua nani mkosefu.

Na utasindikizwa na kauli kali kama NITAKUPOTEZA MIMI au NITAKUFICHA! nk.

Sasa hayo matabaka niliyoyatolea mfano hayapo tena. .

Acha JPM atujengee nchi na acha hizi zipakwe rangi. VIVA MAGUFULI.

.
View attachment 992205View attachment 992204

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba usubili hizi zipakwe rangi
Mkuu mwambie huyo mhudumu akuongezee chochote unachokula pamoja na chai hiyo unayokunywa. JPM katukumbusha kuwa utajiri au umasikini ni hali ambazo tutaziacha hapa juu ya ardhi. Karudisha adabu mtaani.

Hizo ndege kuliko kukaa tu bure zifanye kazi, sekta ya anga isiogopwe tena, wengi humu wanaizungumzia sekta hii katika hali ya uoga, kana kwamba ni biashara inayofanywa na ma-genius pekee.
 
Mkuu Mobutu umendandia ukiwa huijui ndege. Hizo Fokker zimetumika muda gani? Na zina muda gani kuishi before retirement? Unaelewa kitu kinaitwa life extension kwenye ndege?

Unajua kuwa ndege huwa zina retire ? Yaani kustafu ?
Sasa ngoja mshangilie tu.hizo ndege ni za zamani zikiangusha watu ndio mtaelewa kuwa "kichaa ni kichaa"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjue huyu si rais wa mwisho halafu mwisho wa dunia, bado kuna marais watakuja nyuma ya Magufuli watahitaji kutumia hizo ndege. Halafu Makamu wa rais na waziri Mkuu nao wapo bado wanahitaji kutumia usafiri kuu. Hizi zidumu fikra kwa Tanzania hii haipo
 
Ebo!!!!! Ukiskia zoba ujue ni ww, usidandie kitu usichoelewa... Rais ni taasisi, vile vile ujue hatumii yy peke yake... Kuna makamu wake, Waziri mkuu.. So Tuliza bwambwa..

Hao ndiyo baadhi ya ' Think Tanks ' wa CCM Mkuu. Acheni tu CCM ya sasa idharaulike na ipuuzwee kwani imejaza ' Mijitu ' ya ' hovyo hovyo ' kabisa kama huyo uliyemjibu.

Cc: commonmwananchi , retweeted , idawa , narumuk
 
Hivi unajua China hakuna ndege ya Rais Raid akitaka kusafiri wanachukua commercial jet wanabrand tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Hivi ' Logically ' kabisa unaweza ukaitumia China kama ' reference ' yako katika Ujengaji wa Hoja kwa kuifananisha na Tanzania? Hivi ni kwanini baadhi yenu huwa mnakuwa ' Wapumbavu / Mapopoma ' hivi? Halafu nikiwadharau na kuwapuuzeni mnalalamika na kunishutumu wakati kumbe huwa nakuwa sahihi. Eti na Wewe nawe ndiyo mmoja wa ' Think Tanks ' wa CCM. Kweli CCM ya sasa imevamiwa na Watu wa ' hovyo hovyo ' tupu.
 
Mkuu mwambie huyo mhudumu akuongezee chochote unachokula pamoja na chai hiyo unayokunywa. JPM katukumbusha kuwa utajiri au umasikini ni hali ambazo tutaziacha hapa juu ya ardhi. Karudisha adabu mtaani.

Hizo ndege kuliko kukaa tu bure zifanye kazi, sekta ya anga isiogopwe tena, wengi humu wanaizungumzia sekta hii katika hali ya uoga, kana kwamba ni biashara inayofanywa na ma-genius pekee.

Mbona humkumbushi pia kwamba akishatoka hapo Baa na akirudi Kwako kuonana nawe asisahau Kubeba ' Condom ' kwa ajili ya matumizi yako na Yeye?
 
Hii ni hoja binafsi kama ulivyoelezea pia kwenye hoja binafsi lazima kutakuwa na wapingaji "note" sio hoja binafsi tu hata sera za kitaifa lazima kuwepo na wapingaji hata hii hoja ya kufufua Kilimo watu wangesema kulikuwa na sera ya kilimo kwanza, Misaada ya wahisani katika kilimo na fedha mbali mbali zilipelekwa huko ila mpaka leo hakuna "Impacts". Pia zile ni ndege ili kuendelea kutumika kwa faida ni bora kufanya biashara ni sawa na kuwa na mtu ambaye ana gari ndogo ukaamua kulifanya tax kupitia Uber au Taxify anaonekana bora kwenye biashara kuliko kuliuza zen fedha akaanzisha bustani "Think twice before.........?.
Hii ni ' dharau ' kubwa kwa Marais waliopita kuanzia Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Mzee Kikwete kwa Mtu mmoja leo kuamua kwa ' Kukurupuka ' tu kuwa Ndege za Rais Forker 50 na Forker 28 ziwe ' Branded ' kama ' Commercial Planes ' za ATCL.

Hili halipo na halijawahi kutokea nchi yoyote ile duniani na naamini hata tungekuwa Mbinguni Kwake Mwenyezi Mungu hata Yeye pia asingefanya hiki ' Kituko ' ambacho GENTAMYCINE nakiita ni cha Kufungulia mwaka huu ambao bado ni mbichi kabisa wa 2019.

Hoja kwamba zipakwe rangi kisha zichuke Abiria kwakuwa huwa zinakuwa ' grounded ' tu na kwamba hata mwenye Kuhusika nazo huwa hazitumii kwakuwa hasafiri mara kwa mara kutolewa na ' PhD Holder ' kidogo ni kutaka Kuwadhalilisha ' Intellectuals ' wote nchini Tanzania.

Wasaidizi wa Rais hebu fanyeni Kazi zenu vyema Kwake kwa Kumshauri mnaogopa nini? Hivi Sekta ya Anga ya leo au ATCL ya leo inahitaji kweli hadi hata Ndege za Marais nazo ziwe ' branded ' na zijumuishwe kama Ndege za Biashara na Kubeba Abiria? Je kuna hilo hitaji kweli?

Ningeambiwa au ningesikia Hoja kwamba labda Ndege hizo ziuzwe na ibaki moja kisha hizo Hela zitumike Kuimarisha Sekta ya Kilimo au nyinginezo ambazo zinahitaji msaada na ungalizi mkubwa ningemwelewa Mheshimiwa Rais na ningekubaliana nae kwa 100% ila kwa hii Hoja yake ya leo nampinga na naona ni kama vile ' Tusi ' kwa Watangulizi wake.

Wengine tumeumbwa kuwa wakweli na wawazi hivi hivyo mtusamehe tu na tuvumiliane. Tuache Kukurupuka na kuwa na ' Mihemko ' isiyo na Tija wala Mantiki. Halafu akina Donald Trump ' wakitutukana ' Waafrika huwa tunalalamika na kuona labda anatuonea wakati kumbe huwa yuko sahihi tena kwa 100% zote kutokana na ' Madhaifu ' yetu ya asili.

Nimesikitika!

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona humkumbushi pia kwamba akishatoka hapo Baa na akirudi Kwako kuonana nawe asisahau Kubeba ' Condom ' kwa ajili ya matumizi yako na Yeye?
Mapovu kwa kwenda mbele. Mkuu unakuwa na akili za kidikteta, unafanana na wale wanaodai demokrasia hapa nchini halafu ni wa kwanza kuwa-block wale wenye mawazo tofauti na wao. You are not God, you are just a human being. Usilazimishe mawazo yako wewe yawe ndio sheria, vinginevyo hili sio jukwaa huru.
 
Hii ni ' dharau ' kubwa kwa Marais waliopita kuanzia Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Mkapa na Mzee Kikwete kwa Mtu mmoja leo kuamua kwa ' Kukurupuka ' tu kuwa Ndege za Rais Forker 50 na Forker 28 ziwe ' Branded ' kama ' Commercial Planes ' za ATCL.

Hili halipo na halijawahi kutokea nchi yoyote ile duniani na naamini hata tungekuwa Mbinguni Kwake Mwenyezi Mungu hata Yeye pia asingefanya hiki ' Kituko ' ambacho GENTAMYCINE nakiita ni cha Kufungulia mwaka huu ambao bado ni mbichi kabisa wa 2019.

Hoja kwamba zipakwe rangi kisha zichuke Abiria kwakuwa huwa zinakuwa ' grounded ' tu na kwamba hata mwenye Kuhusika nazo huwa hazitumii kwakuwa hasafiri mara kwa mara kutolewa na ' PhD Holder ' kidogo ni kutaka Kuwadhalilisha ' Intellectuals ' wote nchini Tanzania.

Wasaidizi wa Rais hebu fanyeni Kazi zenu vyema Kwake kwa Kumshauri mnaogopa nini? Hivi Sekta ya Anga ya leo au ATCL ya leo inahitaji kweli hadi hata Ndege za Marais nazo ziwe ' branded ' na zijumuishwe kama Ndege za Biashara na Kubeba Abiria? Je kuna hilo hitaji kweli?

Ningeambiwa au ningesikia Hoja kwamba labda Ndege hizo ziuzwe na ibaki moja kisha hizo Hela zitumike Kuimarisha Sekta ya Kilimo au nyinginezo ambazo zinahitaji msaada na ungalizi mkubwa ningemwelewa Mheshimiwa Rais na ningekubaliana nae kwa 100% ila kwa hii Hoja yake ya leo nampinga na naona ni kama vile ' Tusi ' kwa Watangulizi wake.

Wengine tumeumbwa kuwa wakweli na wawazi hivi hivyo mtusamehe tu na tuvumiliane. Tuache Kukurupuka na kuwa na ' Mihemko ' isiyo na Tija wala Mantiki. Halafu akina Donald Trump ' wakitutukana ' Waafrika huwa tunalalamika na kuona labda anatuonea wakati kumbe huwa yuko sahihi tena kwa 100% zote kutokana na ' Madhaifu ' yetu ya asili.

Nimesikitika!

Nawasilisha.
Wewe ni mpuuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom