GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
- Thread starter
- #241
Mapovu kwa kwenda mbele. Mkuu unakuwa na akili za kidikteta, unafanana na wale wanaodai demokrasia hapa nchini halafu ni wa kwanza kuwa-block wale wenye mawazo tofauti na wao. You are not God, you are just a human being. Usilazimishe mawazo yako wewe yawe ndio sheria, vinginevyo hili sio jukwaa huru.
Nimefanya Kosa Kukumbusha kuwa umwambie huyo Jamaa anaporudi Kwako kuonana nawe abebe na ' Condom ' kwa ajili ya matumizi yenu ya Kibaiolojia?