MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 884
Inasemekana ziara ya rais wa Liberia, bi Hellen Sirleaf Johnson ni mkakati wa mkuu wa kaya kumuandalia mazingira ya Urais Dr Asha Rose Migiro, kwa kuwaonesha watanzania wasiojua kuwa marais wanawake wapo. Na kuwaaminisha kuwa wanawake wanaweza, ndio maana hata habari ya ziara yake inatangazwa na kupambwa sana na TBC. Lengo ni kulinda uovu wa magamba leaders ili wamkontroo rais akiwa mwanamke kama wanavyomcontroo Makinda. Nawasilisha.