Sirleaf vs Dr Asha Migiro.

Kwani Makinda mlimchagua au mlichaguliwa?? Ukishaweka hapo sahihi, kesi hakuna tena. Nadhani suala si kuwa Makinda anashindwa kwa sababu ni mwanamke. Kushindwa kwake hakuhusiani na yeye kuwa mwanamke. Hana uwezo tu kama ilivyo kwa baadhi ya wanaume wenzetu walioko ktk ngazi za uongozi. Wanawake wajifunze kutumia nguvu zao katika kupata nafasi za kuongoza, Ni hapo tu watakapoweza kuwa imara na kuonyesha wanaweza pasi na hofu. Ni sawa na mwanamke anayepewa ukuu wa wilaya au ukurugenzi nk kutokana na her "bottom power" na stupidly 'anahesabika' kama sehemu ya programu maalumu ya kuwa-empower wanawake. Ni matusi kwa wanawake kabisa. Amkeni.
 
Inasemekana ziara ya rais wa Liberia, bi Hellen Sirleaf Johnson ni mkakati wa mkuu wa kaya kumuandalia mazingira ya Urais Dr Asha Rose Migiro, kwa kuwaonesha watanzania wasiojua kuwa marais wanawake wapo. Na kuwaaminisha kuwa wanawake wanaweza, ndio maana hata habari ya ziara yake inatangazwa na kupambwa sana na TBC. Lengo ni kulinda uovu wa magamba leaders ili wamkontroo rais akiwa mwanamke kama wanavyomcontroo Makinda. Nawasilisha.

Hujui hesabu wewe! sasa kwa mantiki ya thread yako title inapaswa kuwa Sirleaf = Dr Asha Migiro na sio Sirleaf vs Dr Asha Migiro. Ila migiro hawezi kuwa mbabe wa vita kama huyu bibi
 
tuwe fair na comment hizi....hata wanaume wametuangusha sana tu tangu uhuru! mimi nadhani kikubwa kinachoangusha wengi hapa kwetu ni mfumo wenyewe, jinsi watu wanavyopatikana kwa nafasi mbalimbali na mategemeo ya nafasi hizo...hakuna tofauti ya kijinsia kwa ufanisi, kuna tofauti za itikadi na kufahamika na vigezo vingine ambavyo si lazima vitokane na taaluma...naona pande za jinsi zote mbili zinafanana tu katika mambo mengi: katika ufanisi wa uendeshaji nchi na wa uwakilishi nje na ndani ya nchi...mapungufu ni mengi lakini pengine tuyaangalie kwa upana katika mfumo wetu wa utawala na si kijinsia.

Ukweli hauwezi kupingika kuwa historia inaweza kutusuta dhidi ya jinsia ya ke kama shuhuda zinazotolewa zinavyojaribu kuelekeza lakini tusisahau kuwa mtihani wa mwanamke ni mara dufu ya ule wa wanaume...tukiwapa fursa wote sawa na tukawapima katika vigezo vinavyofanana tutagundua kuwa tuko sawa katika ubora ama udahifu kulingana na tulivyopatikana na tunavyobeba majukumu yetu...
 
Ni ndoto za mchana kumlinganisha sirleaf na migiro.hiyo kazi huko un ilikuwa kama mesenja fulan hivi tofauti na bb sirleaf
 
mchambuzi nakukubali kwa mawazo mazuri sijiu hawa ccm kwa nini hawaoni watu kama wewe,mbunge wa kigamboni ,mbunge ludewa na yule lugola wa musoma chama kingekwenda mbali badala ya wafu lusinde, john komba,nape,mwigulu wote ni majalala hawa
 
mchambuzi nakukubali kwa mawazo mazuri sijiu hawa ccm kwa nini hawaoni watu kama wewe,mbunge wa kigamboni ,mbunge ludewa na yule lugola wa musoma chama kingekwenda mbali badala ya wafu lusinde, john komba,nape,mwigulu wote ni majalala hawa
 
mchambuzi nakukubali kwa mawazo mazuri sijiu hawa ccm kwa nini hawaoni watu kama wewe,mbunge wa kigamboni ,mbunge ludewa na yule lugola wa musoma chama kingekwenda mbali badala ya wafu lusinde, john komba,nape,mwigulu wote ni majalala hawa

Viongozi wa CCM wana matatizo makuu matano:

1. Unafsi/ubinafsi - wanakitumikia chama kwa faida binafsi na wale waliowafadhili uongozi; kwao dhana ya chama ni watu haipo kichwani.
2. Fitina - ni mabingwa wa kuteta wenzao katika makundi lakini dhaifu kuwekana sawa katika vikao rasmi.
3. Uwoga - waoga wa kupoteza nyadhifa zao kwa kukosoa mambo ambayo mengi kimsingi yana maslahi ya taifa.
4. Unafiki - wakiwa madarakani ni mabingwa wa kulindana na kutetea chama hata kikiwa kinafanya mambo ya ovyo, lakini wakitolewa madarakani ni mabingwa wa kukimbilia kwa wananchi kwenda kulia.
5. Viongozi wengi hawatokani na asili mbili za uongozi kama alivyotamka nyerere miaka 40 iliyopita ambazo ni HAKI na WATU. Viongozi wengi ambao wanakivuruga chama aidha ni wale wanaotokana na uteuzi na mtu mmoja kutokana na kujuana au fhadila (sio kura za wananchi) au wanapata nafasi zao za uongozi (hata katika nafasi za kuchaguliwa na wananchi) kwa njia zisizokuwa za haki (kwa mfano kwa hila, rushwa, vitisho, ujanja ujanja wa kudanganya wapiga kura n.k).

Na hizi ndizo sababu zitakazozisindikiza CCM kwenda kwenye benchi la upinzani iwapo kitapona, vinginevyo kuna hatari ya Chama kutoweka kabisa katika medani za siasa ndani ya miaka kumi.
 
Mkuu kwa manufaa ya sie ambao ni watupu naomba utowe nini hasa A. Tibaijuka yuko vizuri zaidi kuliko Migiro. Na unaposema hivo unasema katika ufanisi wao ama CV zao ama kwa vigezo vya nani anaweza kuwa raisi?

hatutaki mambo ya urais wa jinsia hapa. Mambo ya kuweka watu wanaofanya maamuzi baada ya kauli za wengine hatuyataki. Sirleaf hawezi kulingana na hao wawili walioshindwa position zao. Hawawezi!!!
 
Migiro alishawahi kuwa waziri wa wanawake na watoto then mambo ya nje kabla ya kwenda huko UN. Alifanya nini wakati akiwa waziri? Alitoa hata wazo la kupambana na tatizo la watoto wa mitaani?

haya ndiyo maswali ya kujiuliza. Aliwahi pendekeza hata wanawake wafundishwe haki zao? Kina wangari walipigania kwenye mtaala una kipindi cha girls talk ambako wanafundishwa haki zao na sheria kuanzia primary. Huku wanasubiria wanaume waseme ndo wao waanze kupiga kelele.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
toka arudi huyu mama anaandamwa humu kila kukicha! Kama ni uraisi kuna ubaya gani, ata wewe unaruhusiwa kuomba tatizo nini, acheni hizo
 
Kuhusu suala la nani anafaa urais, binafsi sina uwezo at this point kujenga hoja hiyo on neither of the two. Time will tell. Otherwise between the two, it is quite clear kwamba mmoja alijipanga zaidi ya mwenzake to have a progressive career (not regressive) kwa maana ya kwamba Tibaijuka hajajikuta kwenye fall back position unlike Migiro ambae anarudi alipotoka na pengine anasubiri baraka za Rais pengine amteue tena kuwa mbunge na waziri.

You should note kuwa namkubali Asha Rose Migiro na ni moja ya wanawake hapa nchini nafutatilia kwa ukaribu, I have never been interested in Tibaijuka sababu niwe wazi kuwa hasa zaidi ya kusema ni Proffessor zaidi ya hapo nilikuwa sielewi lolote lile juu yake. Hivo nishukuru kwa kuni angazia…

Hata hio as much as namkubali sana Dr. Migiro najuwa kabisa kuwa she is not that fit for Presidency.. Na hio brief information ya Tibaijuka imenifanya nitafute some infor walau nisome, nipate glimpse ya mtu nje ya huo usomi wake. Pamoja na kusema umemtetea, bado sijaona kuwa pia anafaaa kuwa raisi.

Jamani nchi ipo katika a critical ICU situation ya ufu, Raisi anayekuja haijalishi anatoka chama gani; iwe tawala ama pinzani inatakiwa a STRONG and ABLED leader… Nimenote Tibaijuka ana an impressive CV but still that does not qualify her for being a Leader of a Nation… It does not. It seems ni mtu ambae ako really responsible na kufanya kazi zake vizuri kwa ufanisi na kwa kiwango kikubwa.. but still in presidency we are looking more than that…

Kwanza kama kweli CCM wanafikiria kumpa Dr. Migiro Uraisi (which I refuse to believe); wakumbuke kuwa hivo vigezo wataegeshea kum nominate vitawa cost kama vile Madame speaker alivowa cost.. not only wao bali hata taifa zima.
 
hatutaki mambo ya urais wa jinsia hapa. Mambo ya kuweka watu wanaofanya maamuzi baada ya kauli za wengine hatuyataki. Sirleaf hawezi kulingana na hao wawili walioshindwa position zao. Hawawezi!!!


Mkuu Nyalotsi nani kasema anahitaji raisi on the basis ya jinsia? Hio post umeqoute umesoma vizuri ukaelewe nilipost hivo kwa ajili gani?
 
Last edited by a moderator:
Kwanza Anne Tibaijuka has been the under secretary general wa UN kwa muda mrefu lakini pia at the same time head of the UN-Habitat. As the UN under secretary general she became the first and only African woman kuwa in such a high rank within the UN system. Vile vile kwa muda mrefu alikuwa member wa bodi ya UNESCO, blair's commission for Africa, let alone many other assignments WFP, Beijing conference on women etc. Tibaijuka is a true diplomat and shes fluent in English, French, Swedish.

Pili, she has experience in research as she published numerous books and articles, sio magazetini bali kwenye reputable journals on issues pertaining to housing, economic development etc. Isitoshe, she has excelled her PhD into professorial level, and i think it is clear to almost everyone that Dr. Tibaijuka and Professor Tibaijuka carry totally different weights in the said fields.

Tatu, She is a professor (not lecturer) of Economics and has taught that at the UDSM.

Nne, ni Mbunge wa watu (mbunge wa watu JIMBO), sio mbunge wa Rais.

Tano, ni Waziri wa sekta ambayo alikuwa anaifanyia kazi miaka nenda rudi in the UN system. Hivyo ni waziri by merit, na hata ukubwa wa UN HABITAT and under Secretary of the UN alipata by merit na ndio maana hapakuwa na malalamiko wala maneno alipoteuliwa kushika nyadhifa hizo. Isitoshe, nadhani sote tunaelewa mchakato wa kuteua mkubwa wa UN agency au position ya under secretary general unapitisha watu tanuri gani unlike cheo cha Deputy secretary general. Cheo cha deputy secretary wa UN ni kizito na kina heshima lakini ukipata nafasi, angalia job description and then compare it to vyeo vya head of any of the UN agencies.

The bottom line is, tunajivunia Asha Migiro, lakini tusimpoteze akilini Tibaijuka, and any woman in Tanzania au Africa who wants to learn from the best baada ya utafiti mdogo tu atagundua hili.

Naomba nieleweke kwamba sisemi Migiro hana uwezo kuliko Tibaijuka, my point is, tusimsahau Tibaijuka tunapoongelea sifa za Migiro.

Kuhusu suala la nani anafaa urais, binafsi sina uwezo at this point kujenga hoja hiyo on neither of the two. Time will tell. Otherwise between the two, it is quite clear kwamba mmoja alijipanga zaidi ya mwenzake to have a progressive career (not regressive) kwa maana ya kwamba Tibaijuka hajajikuta kwenye fall back position unlike Migiro ambae anarudi alipotoka na pengine anasubiri baraka za Rais pengine amteue tena kuwa mbunge na waziri.

Nzuri hii, umechambua vizuri sana Mchambuzi@ problem hapo ni Kiswanglish tu. JItahidi siku nyingine utumie lugha moja utaeleweka kwa uzuri zaidi. Prof. Tibaijuka anastahili kufika alipofika.
 
Back
Top Bottom