Siri ya Tundu Lissu mpeni onyo Mama Samia

Siri ya Tundu Lissu mpeni onyo Mama Samia

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,269
Reaction score
13,895
Kwa maono ya imani yangu na niliyo ona wakati nasali

Lissu hata yeye hajui lakini anatumika na Mungu narudia hata yeye hajui hili.

Sasa wakati wa Magufuli msije kufikiria alikuwa kichaa kukataa dawa za covid, kutukana na kukebehi ma Padre kwa kutaka watu wajihadhari na covid. Yale yalikuwa njia tu ya kuyimiza ya Mungu kwa manufaa ya wengi.

Sasa Raisi Samia tunampa ovyo kama Magu akiendelea hivi itaonekana ni kitu kingine tena kama Magu atashinda Uraisi kwa kuiba iba lakini Mungu ataonyesha kwamba yeye ni mkubwa kuliko lolote ya yatatokea kama yale yake.

Kikwete naye atanyamazishwa tutaona tu soon
 
Mimi naangalia hii ishu ya Samia na Lissu kwa jicho la mbali sana, IPO hivi wakati wa Lissu akiwa amejeruhiwa Samia alifika mpaka Kenya.

Pia Samia alipokwenda Belgium alionana na Lissu na kumpatia passport,mafao na gari lake na kumuomba arudi nyumbani. Nilipoona Mbowe ameondoka uenyekiti na kuupata Lissu nikasema hapa lazima kuna mchezo utachezwa tu(Lissu atapewa kesi ya kijanja).

Nini ninacho kiona CCM itaanguka kwa makubaliano ya hawa wawili kuna kitu kikitimia ndio nitajua kweli walikuwa kwenye huo mpango.
 
Back
Top Bottom