Siri ya mkoa wa Geita kuwa na matukio ya ovyo na ya ajabu hii hapa

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Oct 21, 2021
4,737
11,096
Habari zenu wana JamiiForums

Wenzangu Waislamu poleni na mfungo wa Ramadhani na wakiristo hongereni na Ijumaa kuu nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu zaidi matukio mbalimbali ya ajabu na ovyo yanayotokea mkoani Geita baada ya uchunguzi wangu mdogo nilioufanya nikiwa naishi mkoani Geita maeneo ya Nyankumbu nimepata matokeo yafuatayo.

Mkoa wa Geita umejaa watu wenye chuki za kimaendeleo hasa kwa wageni na hii ni kutokana na kuwepo kwa mgodi mkubwa wa Geita gold mine mgodi huu umekuwa umekuwa hautoi kipaumbele cha ajira hasa kwa wazawa.

Wazawa wengi ni masikini na mafukara wakutupwa hivyo kupelekea chuki kwa wageni.

Mkoa wa Geita una mchanganyiko wa wahamiaji wengi kama watusi na warundi hivyo mchanganyiko huu hupelekea kuwa na jamii ya watu wenye tabia mbali mbali za ajabu hasa hawa wahamiaji.

Watu wengi wana maisha magumu na ya kifukara japo wamezungukwa na mgodi wa madini.

Kutokana na ugumu wa maisha walionao wananchi wengi wanaoshi mkoani Geita kumekuwa na wimbi kubwa la wagonjwa wa afya ya akili na watu waliojikatia tamaa ya maisha.

Pendekezo langu juu ya tatizo hili ninaiomba Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania inayoongozwa na Amiri jeshi mkuu mama Samia Suluhu hasani kushirikiana na wizara ya afya kuweka kitengo cha afya ya akili katika hospitali ya mkoa wa Geita ili kuweza kuwasaidia wananchi wanaokumbwa na tatizo hili
 
Hata wewe una matatizo ya akili, uchunguzi wako umebase kushambulia kinafiki kutokana na umasikini wa watu wa huko.
Habari zenu wana jamii forum wenzangu waislamu poleni na mfungo wa ramadhani na wakiristo hongereni na ijumaa kuu nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu zaidi matukio mbalimbali ya ajabu na hovyo yanayotokea mkoani Geita baada ya uchunguzi wangu mdogo nilioufanya nikiwa naishi mkoani Geita maeneo ya Nyankumbu nimepata matokeo yafuatayo. Mkoa wa geita umejaa watu wenye chuki za kimaendeleo hasa kwa wageni na hii ni kutokana na kuwepo kwa mgodi mkubwa wa geita gold mine mgodi huu umekuwa umekuwa hautoi kipaumbele cha ajira hasa kwa wazawa. Wazawa wengi ni masikini na mafukara wakutupwa hivyo kupelekea chuki kwa wageni. Mkoa wa geita una mchanganyiko wa wahamiaji wengi kama watusi na warundi hivyo mchanganyiko huu hupelekea kuwa na jamii ya watu wenye tabia mbali mbali za ajabu hasa hawa wahamiaji. Watu wengi wana maisha magumu na ya kifukara japo wamezungukwa na mgodi wa madini. Kutokana na ugumu wa maisha walionao wananchi wengi wanaoshi mkoani Geita kumekuwa na wimbi kubwa la wagonjwa wa afya ya akili na watu waliojikatia tamaa ya maisha. Pendekezo langu juu ya tatizo hili ninaiomba serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania inayoongozwa na Amiri jeshi mkuu mama samia suruhu hasani kushirikiana na wizara ya afya kuweka kitengo cha afya ya akili katika hospitali ya mkoa wa Geita ili kuweza kuwasaidia wananchi wanaokumbwa na tatizo hili
 
Hata wewe una matatizo ya akili, uchunguzi wako umebase kushambulia kinafiki kutokana na umasikini wa watu wa huko.
Kwenye andiko langu umeona umasikini tu mbona nimejaribu kugusia vitu vingi au na wewe ni mzawa wa geita 😁
 
Hapo Nyankumbu mkuu kuna matukio ya kila rangi ya kishirikina sijua labda kwa kuwa ni njia panda

Nakubaliana na wewe kuwa huo mji wa Geita wakazi wake wana wivu uliopitiliza usiokuwa na sababu za msingi na nihitimishe kwa kusema kuwa biashara za geita zinaendeshwa kishirikina na kiganga

Kingine polisi wa Geita wana roho mbaya sana na wanaendesha doria za hovyo hovyo sio mchana sio usiku sijui wanalenga nini
 
Mheshimiwa kama unakumbuka hayo matukio kipindi cha nyumba Mererani yalishamiri sana ..Naona kama kuna uhusiano wa madini na mambo ya ukatili
Geita walinzi wanauwawa sana na wanaofanya mauaji hayo wakimaliza kutekeleza mauwaji hawachukui chochote wanaondoka zao
 
ninaiomba serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania inayoongozwa na Amiri jeshi mkuu mama samia suruhu hasani kushirikiana na wizara ya afya kuweka kitengo cha afya ya akili katika hospitali ya mkoa wa Geita ili kuweza kuwasaidia wananchi wanaokumbwa na tatizo hili
Yaani laana za Dodoma mzihamishie Geita? No way
 
Back
Top Bottom