Josephine03
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 752
- 302
Mama Josephine,
Kama wewe ndiye mke wa Dr. Slaa, nakushauri usiwe una-comment humu, especially kwa masuala yanayomhusu mzee au CDM. Ndiyo, ni haki yako lakini at times nafikiri unafanya kazi ya Daktari inakuwa ngumu sana. You will do more to support the cause by watching from a distance than trying to defend your husband in this forum. I am just saying. I maybe wrong.
Naomba tutofautiane, mi naamini kama Zitto ataendelea kuwa karibuna wenzake na kuendelea kukitetea chama chake dhidi ya propaganda za nje mtela na shonza hawana nguvu ya kumtingisha, hawa watu credibility yao imeshuka sana na soon chochote watakachokuwa wanaongea kitachukuliwa kama waropokaji tu na vijana walioshindwa siasa na wanatafuta mtu wa kuanguka nae.
shonza na mtela wamejimaliza wenyewe kwa sababu spidi waliyokwenda nayo ilikuwa kali mno na ndo maana hata ukifuatilia kwenye mitandao yote asilimia 90 ya
wachangiaji wapo kinyume nao.
Kwa mara ya kwanza nakubaliana na wewe uzi wenyewe kaumwaga hapa na matusi kibao ndani yake enclosed unatakiwa kusoma between the line
Hahahahahaha!Nilijuaga JF wote ni ma Great Thinker kumbe tuna vilaza kibao sijui tutawasaidiaje ili tuwe tunajadili mambo kwa uhuru. hapa hatuko kuchambua ID tuko kuchambua maada acha ubongolala kama huna point jaribu nyingine mnachosha sana, haya kuanzia sasa nitalikana jina langu kisa ukiliona unaweweseka KILAZA - MBURULA wewe
Nimezisikia hizi habari zikishabikiwa na kiredio fulani kama sikosei ni clouds fm wameishabikia hii mada utadhani siyo professionals, as if ni wamama fulani wamekaa kibarazani wanajadiri umbea. Clouds FM inajipotezea sana status yake kushupalia uzushi tena kwa upendeleo, uzushi unaokichafua CCM wanakuwa kimya ila uzushi wa kuichafua CHADEMA utamsikia Geladi Hando, Kibonde na watu wa level hiyo jinsi wanavyo ishupalia kimbea,
Namshukuru Mungu kwa kuniepusha na aibu ya kutumika na wanasiasa.
Kaka Mtenda mabaya hutendwa the Zitto era has gone for ever ,hili linabebwa na mitandao yote watu tumeprint kama copy 200 kuzisambaza wamjue head wa masalia ,no more the great Zitto, kila kitu peupe Mtela Mwampamba kamvua nguo na kumuweka barabarani ameconfirm yale tulikuwa tunasema pole Zitto ulidhani kuwachanja chale za matakoni wangenyamaza kwisha dhambi za zitto ni nyingi Arusha kawafanya watu wanapigwa nyanya mpaka leo kwa kuwasaliti udiwani wakati yeye alikuwa anawakazania wasikubali ushauri
Zitto anasema
"matendo ya mtu mmoja yasiguzwe taasisi"
UNAFIKI mbaya sana w, umekuja kupima upepo au sio, Utawakamata wengine lakin sio sisi ambao tumezaliwa, tumekua, na kuishi jeshini, Tuna roho butu, Tumekomaa tafakari na ujasiri kabla hata ya umri wetu, Sipati tabu na wanafiki kama ninyi kwani nina somo tosha juu yenu.
Go 2 hell.........!
Leo wewe wa kumwamini Mwampamba? kama ndivyo vyote Mwampamba na Juliana walivyovieleza ni vya kweli. umelose focuse, kwisha habari yako.Ni KInyume kwa sababu siku zote walikuwa wakimsimamia Zitto hili la kuamua kuconfess mbele ya umma limeshammaliza Zitto ni gharama kubwa sana kwake ameipata kujisafisha na kukaa nao mbali ni hapa kwa verified ID na unverified amekuwa akiwatetea leo hawezi kuwakana ,hawezi kuchomoka ,mwisho wa fitina ni fitina wahenga hawakutunga methali toka hewani walijua kweli
Nne, Nawashauri viongozi wenzangu wa CHADEMA na hasa wanachama tutumie muda wetu kujenga mshikamano ndani ya chama. Fitna, majungu, uongo, uzandiki nk kamwe havijengi chama. Chama chetu lazima kiwe mfano bora wa kuheshimu demokrasia na haki za binaadamu. Wananchi hawawezi kutoa dola kwa chama chenye mifarakano. Tusiruhusu kugawanywa kwa matakwa ya watu wachache. Tusimamie misingi ya kuanzishwa chama chetu.
Nimezisikia hizi habari zikishabikiwa na kiredio fulani kama sikosei ni clouds fm wameishabikia hii mada utadhani siyo professionals, as if ni wamama fulani wamekaa kibarazani wanajadiri umbea. Clouds FM inajipotezea sana status yake kushupalia uzushi tena kwa upendeleo, uzushi unaokichafua CCM wanakuwa kimya ila uzushi wa kuichafua CHADEMA utamsikia Geladi Hando, Kibonde na watu wa level hiyo jinsi wanavyo ishupalia kimbea,
Namshukuru Mungu kwa kuniepusha na aibu ya kutumika na wanasiasa.
Leo wewe wa kumwamini Mwampamba? kama ndivyo vyote Mwampamba na Juliana walivyovieleza ni vya kweli. umelose focuse, kwisha habari yako.
Mkwishapotea kabisa.Lose focus.
Leo hii mnamwamini Mwampamba mmesahau juu ya DR kuhusika juu ya Deusi pamoja na Mzeaa wa CHASO LUDO?
Mnazani mnakisafisha chama ila ndo mnakimaliza chama.
Kauli hii ni nzito na ina maana ndani yake. Could it be...?