Asenga wa Pakaya
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 260
- 60
zito anasema matendo ya slaa yasifanywe kuwa ya taasisi
Komredi,
Poleni sana. Hatimaye mmekanwa. Na bado tutaona na kusikia mengi. Kumbe mlijivika ujasiri na kiherehere cha kusema mliona ungaunga mwekundu? That post was so poor. Nadhani ndo ya kufungia 2012.
Haya, Muha kawachinjieni baharini. Na huko mlipo, muda si mrefu mtatupwa...mtaenda wapi? ADC? CHAUMA? CHAUSTA? NDL?
Mpuuzi na huna adabu hapa ni GF unahamisha dhambi ya Zitto kupeleka kwa DR SLaa kuonyesha ana mfanya vibaya MTela,kama unataka kutueleza Zitto ndio alikuwa anamfanya Mtela ppeleka ujinga wako huko huko ,Mpuuzi sana uhuru wa JF isiwe kukosea adabu watu wazima , wewe ni mwehu Zitto amejiumbua hawezi kuwakana hawa vijana ameandika makala nyingi katika makala mbalimbali akiwasupport,hapa Jf hivyo hivyo kwa hiyo koma kama ulivyokoma kunyonya ziwa la Mama yako kumkosea adabu Dr Slaa namna hiyoKwa siasa hizi mnazoendesha vijana wenzangu ni aibu
La kujiuliza ni timing ya hizo kashfa unazosema, inaonyesha hamko strategic na hamjui hata maana ya strategy.. haya maelezo yako na matendo yenu ni dalili za kukurupuka na ina reflect one thing for sure, YOU ALREADY A LOOSER AND YOU DONT CARE SINCE YOU HAVE NOTHING TO LOOSER... AMBACHO HUJAFAHAMU MPAKA SASA NI KWAMBA U MISS THE TARGET.. AND BIG GUY IS ON YOU BACK... hapo ndipo ninaposikitika ni pale kijana mwenye akili zako unakutana na simba katulia zake anajilia vya kwake una risasi moja tuuu unaambua kuitumia kumlenga... sasa umemkosa tafuta mti wa kupanda....
WAZO LANGU NADHANI MKAKAE CHINI MJE NA KASHFA KUBWAAAAA MFANO VIONGOZI WA CHAMA WALIKUWA WANAWAINGILIA KINYUME CHA MAUMBILE AU WALIWAHI KUWASHIKASHIKA SEHEMU ZA SIRIII AU WALIKUWA WANAWALAZIMISHA MZICHEZEE ILI MPATA UONGOZI KITAIFAA........... KASHFA KAMA HIZOO NDIO ZILIIZOBAKI NA SITASHANGAA MKIIBUKA NAZOOOO MAANA MLIVYO NA CHUKIII NA SLAAA NA UKICHUKULIA AINA HIII YA KASHIFA IMEWAHI KUWAKUMBA MAPADRE WENGIIII..... THAT IS PERFECT OPPORTUNITY TO TAKE HIM DOWN ....... AU SIO!!!!!!!!!!!!!!!???? vipi upo CCM lakini vita unavyoendesha ni kama unataka kuiua chadema ili mkose wote au unataka kurudi chadema!!!???? CCM SI CHAM KIKUBWA JAMANIII MBONA HUONYEHSI KURIDHIKA HUKOO ULIKOOO AU KWELI CHADEMA NI ZAIDI YA TUNAVYOIJUA.... KUNA JAMBO KUBWA SANAA HAPA AMBALO NI PERSONAL LIMEJIFICHAA
zito anasema matendo ya slaa yasifanywe kuwa ya taasisi
hata chenge naye alienda jktMmeona mafunzo ya JKT yalivyo na manufaa?
Kijana fresh from JKT huyo...
Juliana Shonza: hatutakuamini tena uyasemayo.By Juliana Shonza
KUHUSU BEN SAANANE NA KUTUMIKA KUMUUA ZITTO KABWE
Wana jf, Nakili wazi hili swala lilitokea mnamo mwezi wa 5 mwaka 2012 tukiwa Lunch time hotel external kwenye mazungumzo ya kawaida(ambavyo ben saanane anaita ni vikao vya kuhujumu chama). Siku ya tukio tukiwa meza moja na Ben Saanane mkono wake wa kushoto alifunga bandeji akidai ameumia mkono(nakumbuka). Kwa babati mbaya sana katika maongezi yale Ben alilewa pombe (alikuwa anakunywa bia(kilimanjaro). Kulewa kwake pombe alijisahau na kutoa bahasha ya kaki yenye fedha, ndani ya bahasha ile wakati wa kutoa fedha alipe huduma ya chakula na vinywaji alidosha karatasi ya nailoni ndogo ikiwa na unga mwekundu ndani.
Tulimuuliza ni nini hicho akadai ni kuberi,na kuing'ang'ania tusifungue(aliyekiokota ni mwampamba).Lakini Mwampamba aligoma kumpa na kudai lazima ifunguliwe pale pale.
Ben saa nane akiwa katika hali yake ya kulewa alifura kwa hasira kutaka arudishiwe ilekaratasi,haliiliyopelekea uvunjifu wa amani pale lunch time hotel.Mwampamba aliondoka na mzigo ule kwa kukimbia nao, usiku ule Ben alitafutana na mwampamba hadi nyumbani kwake(temeke) akidai huo mzigo(ikumbukwe mwampamba na mm nimeishi kwake na nikaka yangu) . Lakini katika hali ya kusikitisha ben aliomba mzigo ule usiende mbali na kuahidi atasema kweli kile ni nini.
Ben saanane alikili wazi kwamba ile ni sumu lakini anapeleka nyumbani kwa ajili ya kuulia panya, Swala hili halikuishia usiku ule,ben hakufanikiwa kupata mzigo ule kesho yake asubuhi(jumapili) alikwenda kumsihi mwampamba ampatie mzigo.
Sharti lilikuwa aseme ni nini kwasababu huwezi kuwa na sumu eneo la starehe kama pale hotelini huku akisisitiza kuonana na zitto ambaye alisafiri usiku ule kwenda marekani bila kuonana na yeyote kati yetu?
Ndipo Ben saanane akakili ile ni sumu akilenga kumpatia zitto akiwa ametumwa na Dr.slaa.Tulihamaki kusikia kile kitu(hapa tulikua tabata reli stand tukisubiri usafi).Nilimuuliza uthubutu wake wa kufanya kitu kama hicho na kwanini afanye unyama huo,akadai ametumwa Kisa kikiwa ni zitto kumsakama dr.slaa ndani ya vikao vya chama.
Swala hili lilifika mbali kwa kuwekeana mipaka ya kula vyakula mahotelini na kutoshirikiana tena katika ushikaji wetu kama masalia.
Naungana wewe kumshkuru Zitto kwa hayo majibu nafikiri gazeti la Mtanzania linapaswa kuyaandika ukurasa wa mbele kwa uzito uleule walioandika uzushi wa kwanza kama kweli wao ni objeciveasante mtani kwa ufafanuzi na kwa vile hii ni kauli yako mwenyewe basi watatumia wino na karatasi zao kuandika mambo ya maana.
Mpuuzi na huna adabu hapa ni GF unahamisha dhambi ya Zitto kupeleka kwa DR SLaa kuonyesha ana mfanya vibaya MTela,kama unataka kutueleza Zitto ndio alikuwa anamfanya Mtela ppeleka ujinga wako huko huko ,Mpuuzi sana uhuru wa JF isiwe kukosea adabu watu wazima , wewe ni mwehu Zitto amejiumbua hawezi kuwakana hawa vijana ameandika makala nyingi katika makala mbalimbali akiwasupport,hapa Jf hivyo hivyo kwa hiyo koma kama ulivyokoma kunyonya ziwa la Mama yako kumkosea adabu Dr Slaa namna hiyo
Josephine Mushumbusi ID yake ni Josephine. Huyu Josephine03 ni mtu mwingine.Mama Josephine,
Kama wewe ndiye mke wa Dr. Slaa, nakushauri usiwe una-comment humu, especially kwa masuala yanayomhusu mzee au CDM. Ndiyo, ni haki yako lakini at times nafikiri unafanya kazi ya Daktari inakuwa ngumu sana. You will do more to support the cause by watching from a distance than trying to defend your husband in this forum. I am just saying. I maybe wrong.
acha umbea maana gan!
katika gazeti la mtanzania toleo na. 7269 la jumatano machi 27, 2013 kuna habari yenye kichwa chenye maneno siri ya kuuwawa zitto yafichuka na vichwa vidogo yadaiwa ilipangwa anyweshwe sumu hotelini dk. Slaa atajwa kumtuma saanane kummaliza. Habari hii imeniletea usumbufu mkubwa kwani ndugu, jamaa, marafiki na wapiga kura wangu, wamejazwa na wasiwasi mkubwa sana kwamba ninaweza kuuwawa.
Napenda kusema yafuatayo:
Moja, sijawahi katika maisha yangu yote kukutana na mtu anayeitwa ben saanane na hivyo hicho kikao ambacho inasemekana nilikuwa naye na akajaribu kunipa sumu hakijawahi kutokea. Imetajwa hoteli ya lunch time ambayo sio tu sijawahi kufika, pia hata siijui ipo wapi. Haijawahi kutokea mimi kufanya kikao cha pamoja na ben saanane, juliana shonza na mtela mwampamba. Hivyo habari iliyoandikwa ni ya kufikirika na hivyo naomba mwandishi ahakikishe kuwa vyanzo vyake vya habari vimempa habari sahihi.
Pili, siamini kamwe kuwa katibu mkuu wa chama changu anaweza kupanga kuniua maana hana sababu ya kufanya hivyo. napenda kurudia kusema kwamba mimi ninaamini kuwa kila nafsi itaonja mauti. Kila mtu atakufa. Kama nitakufa kwa kuuwawa na mtu mwingine ndio itakuwa nimeandikiwa hivyo na mungu. Ndio maana hata siku moja silalamiki kuhusu vitisho vya kuuwawa nk. Kama kuna mtu anafikiria kuwa kumuua zitto ndio furaha ya maisha yake atakuwa anajidanganya tu maana zitto anaweza kufa kimwili lakini mawazo, fikra na maono ya zitto yataishi tu. Siogopi kufa maana maisha niliyoyachagua ndio haya ambayo yamejaa vitisho. Muhimu kwangu ni kufanya kazi zangu kwa bidii, uhodari na uaminifu. Siku zote nitasimamia ukweli bila kujali uchungu wa ukweli huo.
tatu, nawashauri watu ambao wamehama chadema na kuhamia vyama vingine watumie muda wao kujenga vyama vyao badala ya kila siku kuzungumzia masuala ya chama ambacho wao sio wanachama tena. Kama mtu kaamua kuhama chadema anapoteza haki ya kujadili masuala ya chadema maana kama angekuwa anapenda kuyajadili asingehama. Naonya mtu yeyote ambaye anatumia jina langu ili kufanikisha malengo yake ya kisiasa. Chadema sio pango la watesaji wala wauaji. Kama kuna mwanachama wa chama kingine cha siasa anayedhani kuna mtu ndani ya chadema anapanga mipango ovu aende kwenye vyombo vya sheria kumshtaki. matendo ya mtu mmoja yasifanyiwe propaganda kama ni malengo ya taasisi.
nne, nawashauri viongozi wenzangu wa chadema na hasa wanachama tutumie muda wetu kujenga mshikamano ndani ya chama. fitna, majungu, uongo, uzandiki nk kamwe havijengi chama. Chama chetu lazima kiwe mfano bora wa kuheshimu demokrasia na haki za binaadamu. Wananchi hawawezi kutoa dola kwa chama chenye mifarakano. Tusiruhusu kugawanywa kwa matakwa ya watu wachache. Tusimamie misingi ya kuanzishwa chama chetu.
=============thread inayoongelea kilichoandikwa na mtanzania hii hapa - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ajwa-kumtuma-ben-saanane-kummaliza-zitto.html